Rais Kikwete kuhutubia Taifa...

Rais Kikwete kuhutubia Taifa...

Status
Not open for further replies.
I hope akianza kuhutubia wewe na wanafiki wenzio mtakesha mkituma post za kuponda hotuba yake kwani ndo kazi yenu kuu

nahisi we utakuwa ndo yule bibi wa bagamoyo mwenye ile tv ya asili anakokimbiliaga mkulu akishindwa mambo,, ebu niakikishie!
 
yaani mwenzenu nimekaa nasubiri hadi sa hizi sijamsikia basi kama kaingia mitini si aseme au hao wasaidizi wake, mambo gani kusubirishana hivyo?ah ni muhimu kumsikia pengine atalia kwa uchungu au anaweza tangaza kujiuzulu the world is full of surprises.
 
Nashauri atupe ufafanuzi huhusu, mgomo wa madaktar, kusulubiwa ulimboka,kuruhusu meli za iran kutumia bendera zetu, bilion300 alizoficha na wenzake majuu, kwanini ye ni zaifu,. Naitaji majibu yake kiofup juu ya hayo

sitashangaa akiongelea mikutano mbali mbali aliyoshiriki kuwashukuru wabunge wa ccm kwa kuipitisha bajeti
 
Mbona ahutubii sasa mpaka muda huu au kaugonjwa kuanguka kamemkuta nini?:behindsofa::behindsofa:
:behindsofa:
 
Mama toto!!!!!! Hebu leta remote niweke cartoon network nasikia Leo kwenye station nyingine kuna dhaifu moja linaonyesha maigizo wala hayachekeshi
 
mbona ahutubii sasa mpaka muda huu au kaugonjwa kuanguka kamemkuta nini?:behindsofa::behindsofa:
:behindsofa:

kuna watu wamemteka naye wame mpeleka mabwepande....anakatwa miguu kwa mundu.. Ili aache kiherehere cha kusafiri safiri... Obama kashamtumia makomandoo... Baada ya kumsaliti kutoiunga mkono irani.... Jk now ni most wanted na white house kwa sababu ya iran saga....
 
Hii Hotuba mbana tumeingizwa mkenge jamani .Tumemsubiri Rais hajatokeza ngoja nikajilalie zangu mimi.
 
Hamna hotuba..ameamua kurudi kujipanga upya kama mzee wa Liwalo na Liwe..
 
Mtanistua akimaliza huyo Mdhaifu mimi nipo kwa Mangi napata viroba vyangu
 
Wakuu huto dhaifu anahutubia saa ngapi au anahutubia taifa gani
 
Rais anatodanganya wananchi,hatua gani zichukuliwe? Naomba mwongozo
 
ZAIFF kavunjika kiuno baada ya kugogana na MENDE alipokuwa akitoka chumbani kuelekea sebuleni kutoa hotuba.
 
jamaa kaingia mitini!sijui imekuaje!?afu kama kawa bongo, hakuna taarifa yoyote kama hotuba itakuwepo ama la!
Yaani kwenye taarifa ya habari(tbc)wanasema rais atahutubia taifa leo......wanajua wananchi wengi watakuwa wamekaa karibu na tv zao kwa shauku kubwa kumsikia huyu jamaa atasema nini;lakini mpaka sasa hivi(2215hrs) hakuna kitu......hii ni aibu!
 
yaani mwenzenu nimekaa nasubiri hadi sa hizi sijamsikia basi kama kaingia mitini si aseme au hao wasaidizi wake, mambo gani kusubirishana hivyo?ah ni muhimu kumsikia pengine atalia kwa uchungu au anaweza tangaza kujiuzulu the world is full of surprises.

kaingia mitini. kuna kesi iko mahakamani khs mgomo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom