Njaa Mbaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 666
- 178
Kwa vile JK ni Rais wa nchi, ni wazi kuwa ana haki ya kuongea na mtu yeyote na mahala popote
Du unavyomtetea jk, kwani akiutubia taifa bila kuingia gharama ya kuwaleta wanaoitwa wazee hatutamsikia? Au mpaka vigelegele, shangwe, vifijo na nderemo za wazee ndiyo hotuba inanoga