Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,842
- 31,075
Is it mwongozo kwa Taifa or mwongozo kwa wana CCM?Ni hotuba nyingine ya mwisho wa mwezi yenye muongozo kwa taifa.
Is it mwongozo kwa Taifa or mwongozo kwa wana CCM?Ni hotuba nyingine ya mwisho wa mwezi yenye muongozo kwa taifa.
Atakutana nao Singida. Safai hii hatawapeleka Ikulu
Kwa vile JK ni Rais wa nchi, ni wazi kuwa ana haki ya kuongea na mtu yeyote na mahala popote
Hivi bado kuna watu wanamsikiliza huyu mzee?
Acha kujitoa ufahamuIs it mwongozo kwa Taifa or mwongozo kwa wana CCM?
Subiri utakuwa mzee na wewe utapata bahati , kupitia wewe Rais atahutubiaHivi wazee anaongea nao, anakutana nao au ni kutafuta washangiliaji? Kwa uzoefu wangu huwa naona rais anaongea akimaliza anasepa. Wale wazee ni kama live wallpaper. Tuseme hivi: Rais anahutubia Taifa mbele ya wazee
Haya shekhe kunduno ngoja tusuubiri tuone utabiri wakoMwezi huu si alikuwa Marekani? Tegemea kama kawaida hotuba yake ijikite zaidi katika kuelezea jinsi alivyofurahia safari yake ya Marekani na jinsi Obama alivyofurahi kumuona zaidi ya kuzungumzia mambo makubwa yanayolikabili kitaifa!
Jembe linapiga mzigo ile mbaya
Ulishakuwa wimbo wa mtaa wa ufipa imbeni mwanzo mwisho, Mzee wa watu yuko busy na kazi ya kuwahudumia watanzaniaKikwete janga la taifa
Wewe ni kiumbe kidogo sana, huwezi kujua umuhimu wa ziara za kikwete, subiri tu uletewe nyumbani ule kula kulala weweNi kweli...hizo safari zisizo na tija kwa taifa za kila siku sio kazi ndogo..jamaa ni jembe sijapata kuona
JK anajua vijana wake wanapiga kazi Dom hana tatizo na hilo, Ukawa kama wanaona wanachelewa wanaweza kutanguliaMkuu acha utani! Hata kama ni Singida angeanza nalo basi kwani ni la maslahi mapana kitaifa?!
Kuzindua miradi angetuma tu wasaidizi wake kama ingebidi!
Wewe ulitaka akutane na Wazee wa wapi?
Ulishakuwa wimbo wa mtaa wa ufipa imbeni mwanzo mwisho, Mzee wa watu yuko busy na kazi ya kuwahudumia watanzania