"Nilipata bahati ya kufanya kazi Zanzibar. Kuna wakati Mzee Thabit Kombo aliniambia wakati ukifika jambo unalolitaka litakuwa hata watu wapinge na kama wakati bado hata ufanyeje halitakuwa. Mimi niligombea 1995, wakati ulikuwa bado halikuwa lakini 2005 wakati ulikuwa sahihi likawa. Kwa hiyo nawewe January lisipokuwa safari hii usiweke nongwa ila amini wakati bado"
Rais Kikwete - Soni Bumburi
9 July 2014
Source: Mkuu wa wilaya korogwe (Mh. Mrisho Gambo - Facebook page)
"Nilipata bahati ya kufanya kazi Zanzibar. Kuna
wakati Mzee Thabit Kombo aliniambia wakati
ukifika jambo unalolitaka litakuwa hata watu
wapinge na kama wakati bado hata ufanyeje
halitakuwa. Mimi niligombea 1995, wakati
ulikuwa bado halikuwa lakini 2005 wakati
ulikuwa sahihi likawa. Kwa hiyo nawewe
January lisipokuwa safari hii usiweke nongwa
ila amini wakati bado"
Rais Kikwete - Soni Bumburi
9 July 2014
"Nilipata bahati ya kufanya kazi Zanzibar. Kuna wakati Mzee Thabit Kombo aliniambia wakati ukifika jambo unalolitaka litakuwa hata watu wapinge na kama wakati bado hata ufanyeje halitakuwa. Mimi niligombea 1995, wakati ulikuwa bado halikuwa lakini 2005 wakati ulikuwa sahihi likawa. Kwa hiyo nawewe January lisipokuwa safari hii usiweke nongwa ila amini wakati bado"
Rais Kikwete - Soni Bumburi
9 July 2014
Source: Mkuu wa wilaya korogwe (Mh. Mrisho Gambo - Facebook page)
Unatafuta Ban sasa
Kwa hiyo amempiga dongo Mwl.Nyerere?
Karuhusu kampeni .Sasa afute adhabu ya akina Membe,Lowassa n.k
Mwenyekiti mkurupukaji na Mnafiki.Amekiuka maamuzi ya chama.
Karuhusu kampeni .Sasa afute adhabu ya akina Membe,Lowassa n.k
Mwenyekiti mkurupukaji na Mnafiki.Amekiuka maamuzi ya chama.
Brazil ndo kachapwa saba moja na ujerumani. Vipi kocha wao amejiuzulu au kagoma?Brazil wamemfunga mtu saba bila
Kwa hiyo amempiga dongo Mwl.Nyerere?
Karuhusu kampeni .Sasa afute adhabu ya akina Membe,Lowassa n.k
Mwenyekiti mkurupukaji na Mnafiki.Amekiuka maamuzi ya chama.