Ngida1
JF-Expert Member
- Aug 25, 2009
- 586
- 206
Tathmini yetu juu ya Rais Kikwete baada ya hotuba yake ya jana ni kuwa HAFAI kutuongoza Watanzania na tushukuru Mungu kuwa mwakani anamaliza muda wake!
Katika vita vyetu na Iddi Amin Daddah katika miaka 1970's, kama yeye angelikuwa ndio Commander-in-Chief kama alivyo sasa, basi Kagera leo ingelikuwa chini ya Uganda!
Chanzo: Zanzibar Ni Kwetu
Katika vita vyetu na Iddi Amin Daddah katika miaka 1970's, kama yeye angelikuwa ndio Commander-in-Chief kama alivyo sasa, basi Kagera leo ingelikuwa chini ya Uganda!
Chanzo: Zanzibar Ni Kwetu