For those who dont believe this, just try to ask any member of media house, cause its Confirmed.
For those who dont believe this, just try to ask any member of media house, cause its Confirmed.
Hatimaye Rais Jakaya Kikwete atatangaza Baraza la Mawaziri saa 10 Jioni ya leo Ijumaa.
SOURCE: Bigbro.
Waziri wa Sheria na KatibaMbatia waziri gani?
Kununua gari bila kuwa na dereva kuna manufaa gani?
Wakuu hii ni kweli saa kumi jioni ameita wahariri na waandishi kwenda ikulu.Jana asubuhi tumeambiwa atatangaza wakati wowote kuanzia sasa; akatangaza wabunge wa kuteuliwa. Leo asubuhi kuna mtu amekuja na thread hapa kwamba Baraza litatangazwa saa nne na sasa wewe unakuja na news kwamba litatangazwa saa kumi. Huenda wote mko sawa kwa kuwa kwa kizungu saa nne ni saa kumi na saa kumi ni saa nne. Vipi ameitisha waandishi wa habari au itakuwa ni TBC1 peke yake?Let us keep on waiting kwa kuwa lazima atatangaza wakati wowote!
For those who dont believe this, just try to ask any member of media house, cause its Confirmed.
This is no longer an issue!Hatimaye Rais Jakaya Kikwete atatangaza Baraza la Mawaziri saa 10 Jioni ya leo Ijumaa. SOURCE: Bigbro.
kw hivo unataka kutuambia the storm is over now au tuendelee kuimba i believe i can fly?
Hatimaye Rais Jakaya Kikwete atatangaza Baraza la Mawaziri saa 10 Jioni ya leo Ijumaa.
SOURCE: Bigbro.
Hatimaye Rais Jakaya Kikwete atatangaza Baraza la Mawaziri saa 10 Jioni ya leo Ijumaa.
SOURCE: Bigbro.