Nchi hii si ya wapiga dili, pia anayewambia kuwa ccm inashindwa ni nani? watu wenyewe mnatapatapa mara mnashitaki ICC hii ni akili ndogo ya gege la wapiga dili, kwa akili ndogo wanaona kuwa wanamtisha JK- JK ni mtoto wa mjini kuliko hilo genge mara 100- upande Mr.0 upande ED, kweli inadhihirisha chadema haina viongozi makini.