Wadau nimefuatilia matamshi kadhaa wa kadhaa ya mkuu wetu inaonekana dhahiri shairi kutokuwa tayari kukabidhi madaraka kiungwana kwa Rais ajaye kama CCM ikishindwa.
Rai yangu kwa Watanzania wote wapenda haki na amani tuombe sana na kwa mzigo juu ya taifa letu.
Ajenda za kuombea 1) Mungu aingilie kati Tume ya Uchaguzi itende haki.
(2) Mungu aingilie kati mamlaka iliyopo ya nchi iweze kukabidhi madaraka bila misuguano wala vurugu.
Wapinzani nao wameonyesha kila dalili ya kutokubali kushindwa tuombe nao wakishindwa wakubali