Ruyama
JF-Expert Member
- Sep 6, 2019
- 367
- 561
Nimeangalia kipindi cha Salama na, kinachorushwa kupita EATV, Rais mtaafu Jakaya Kikwete anaonekana mtu wa furaha.
Ninahisi hayo maisha ya furaha ndio yanamfanya kimuonekano hazeeki yuko fiti, alikuwa anaongea charming sana, kwa kweli Mungu akupe miaka tele Rais Mstaafu JK
Ninahisi hayo maisha ya furaha ndio yanamfanya kimuonekano hazeeki yuko fiti, alikuwa anaongea charming sana, kwa kweli Mungu akupe miaka tele Rais Mstaafu JK