mlekwajh
Member
- Jul 16, 2012
- 54
- 49
Una uhuru wa kusema lolote maana JF imetupa uhuru huo lakini nimeshasema na narudia tena, SIFANYI KAZI TPA, sina ndugu TPA wala rafiki. Bora TICTS nina washkaji huko nilikuwa nao wakati nikifanya research 2007.
By the way, mnachanganya sana kila kitu kuitupia lawama TPA. Hivi hamjui kuwa TICTS wanafanya pia kazi kama za TPA tena kwa kiwango kikubwa kuliko TPA? Hamjui kama TICTS wanapakua mizigo na kupakia?? Hamjui kama wizi pia waweza kutokea TICTS wakati wa kupakua? Hamjui kuwa mizigo inayopitia TICTS haikusiani hata chembe na TPA?
Mnahitaji kupewa elimu sana ili muelewe maana inawezekana mnafuata mkumbo tu bila kujua.
We unaonekana ni kiraza wa ajabu,na hata hiyo desertion yako ilipitishwa kwa hongo.haya mambo c tunayajua vizur kuliko wewe uliyekua unapita tu na Kipara wambea wa TICTS unaowaita washkaji.hivi mawazir wakiboronga anaelaumiwa si ni rais!
Tics ikiboronga inalaumiwa mamlaka inayoisimamia(TPA).Tics haiko pale independently.jipange kaka NA master yako ya kichina