Rais Kikwete ahudhuria mazishi ya shemeji yake mjini Lindi leo

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797





Home » » Rais Kikwete ahudhuria mazishi ya shemeji yake mjini Lindi leo
[h=3][/h]



Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo Julai 30, 2012 amehudhuria mazishi ya shemeji yake, Marehemu Amani Kinyozi (45), aliyefariki
Jumamosi iliyopita jijini Dar es salaam, na kuzikwa katika makaburi ya Mitandi mjini Lindi.

Rais Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya shemeji
yake, Marehemu Amani Kinyozi, katika makaburi ya Mitandi mjini Lindi leo
Julai 30, 2012

PICHA NA IKULU
1859130880412241953-4796499098968390162









 
Poleni ndugu familia ya Mama Salma Kikwete... Hasa kwa wakati huu wa Mfungo wa Ramadhan!!!
 
Poleni sana MUNGU amempenda zaidi ya sisi Binadamu, MUNGU ametoa MUNGU amtwaa
 
Juzi msoga leo lindi kesho sijui wapi tembea baba tembea!!

hapo hajaenda Ghana kwenye maziko ya yule Atta Mills akitoka hapo apitie Timbuktu kuangalia jinsi wale waasi wanavoharibu TURATHI za kale..akirudi hapa anasaini mikataba ya mambo ya gesi maana itakuwa draft imekamilika ....
 
Back
Top Bottom