Mhagama hana tofauti na mulugo, I bet!
malima,nchemba walitakiwa wawe mawaziri kamili.Nikionacho hapa kwa nafasi ya naibu Waziri wa fedha. Ni mkakati wa kutafuta fedha haramu za kampeni... ------- sana.
Hivi Adam Malima huyu jamaa ana nini hasa ambacho ni so special ku deserve kuwemo kwenye uteuzi. Anyway Serikali dhaifu hii ndiyo conclusion.
michuzi ameweka full list loh
Yamewekwa mafurushi.Mbona Mawaziri Mizigo wamebakia-Meena kauliza swali.
Mbona Mawaziri Mizigo wamebakia-Meena kauliza swali.
Hakuna mbadala.
Ssssm itakwapua hela za kampeni kilaini sana, Wang'oa watakuwa na donge nonoNatumia frusa hii kukupongeza kwa kuteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Fedha sasa niwakati wakuwa na siasa za ustaarabu kujibishana na vijana basi kifupi umekuwa! Hongera M.Nchemba
haya mliokuwa mnadhani ni baraza la mawaziri mmebugi !