Binafsi nilitegemea kusikia majina tu,sio watendaji wa kutufikisha Nchi yenye Neema........naona promo za Mwigulu pale mjengoni kuwa ni mchumi daraja la kwanza zimelipa...........nasubiri vioja tu na si kingine.....MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Hoja ya mawaziri mizigo...walitajwa na wamebaki....
Anajibu kuwa wazo la mzigo haliamini yeye. Inawezekana tatizo liko nje ya uwezo wake. Kwa hiyo Rais anapima na kuona kama kweli waziri ni tatizo. Kama asiporidhika ndiyo hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.