Mipangomingi
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,713
- 2,058
Bora hivyo Mkuu, sasa haya mambo gani haya? Mbaya zaidi na huko kwengine nako tulikopanda, kabla ya kuvuna tunaambiwa shamba lina mgogoro, basi tabu tupu. Kweli Ulimwengu mgumu lakini nchi yetu ngumu zaidi.Ha haaaa box siyo?