Rais Karia aongezewe muda TFF atake asitake

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,316
12,615
Nimekuwa mkosoaji mkubwa wa TFF kutokana na sababu za waamuzi na upendeleo, lakini mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Karia amefanya na ziada kwenye mpira wetu. Amevunja rekodi nyingi kwenye tasinia ya mpira ambazo hazitaki maelezo mengi kuyataja.

Kwakuwa amefanya na ziada basi na wadau wa mpira tumtendee na yeye Cha ziada. Tumpe muda zaidi aweze kuikamilisha ndoto yake ya kuiandaa afcon 2027. Yeye ndiye anaejua mganga alipo.
 
Nimekuwa mkosoaji mkubwa wa TFF kutokana na sababu za waamuzi na upendeleo, lakini mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Karia amefanya na ziada kwenye mpira wetu....
Hivi, ni kitu gani huyu mshabiki wa simba amefanya, mbona mimi sioni cha ziada sana kuwazidi kina Tenga na wengine.
 
Hivi, ni kitu gani huyu mshabiki wa simba amefanya, mbona mimi sioni cha ziada sana kuwazidi kina Tenga na wengine.
Ni vingi sana aloo. Vichache ni udhamani mnono kwa vilabu, Simba kufika robo finali za CAF mara kadhaa mfululizo, Yanga kucheza cheza finali za CAF, timu za taifa kufanikiwa, ligi yetu kuwa Bora Africa, Tanzania ku host mashindano ya CAF, Simba kucheza super cup, nk.

Hata champions league imepata wadhamini na kuonyeshwa live. Wafanyabiashara biashara Wana imani nae, ana mahusiano mazuri na serikali, mpira wa wanawake Leo hii uko mawinguni.
 
Nimekuwa mkosoaji mkubwa wa TFF kutokana na sababu za waamuzi na upendeleo, lakini mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Karia amefanya na ziada kwenye mpira wetu. Amevunja rekodi nyingi kwenye tasinia ya mpira ambazo hazitaki maelezo mengi kuyataja.

Kwakuwa amefanya na ziada basi na wadau wa mpira tumtendee na yeye Cha ziada. Tumpe muda zaidi aweze kuikamilisha ndoto yake ya kuiandaa afcon 2027. Yeye ndiye anaejua mganga alipo.
Anaefanya vizuri apongezwe
 
Tunaweza kuleta kiongozi mwingine wa TFF mwenye msimamo tofauti na serikali akavuruga kazi ya maandalizi ya 2027 kwa sababu ya mivitano kati ya TFF na serikali.
 
Ni vingi sana aloo. Vichache ni udhamani mnono kwa vilabu, Simba kufika robo finali za CAF mara kadhaa mfululizo, Yanga kucheza cheza finali za CAF, timu za taifa kufanikiwa, ligi yetu kuwa Bora Africa, Tanzania ku host mashindano ya CAF, Simba kucheza super cup, nk.

Hata champions league imepata wadhamini na kuonyeshwa live. Wafanyabiashara biashara Wana imani nae, ana mahusiano mazuri na serikali, mpira wa wanawake Leo hii uko mawinguni.
yeye ndio anadhamini kwa pesa yake, yeye ndio anaingia uwanjani kucheza? au nini amefanya specifically? Yeye mshabiki wa simba siku zote huwa anaizunguka yanga ishindwe utasemaje kufanikiwa kwa yanga kumetokana na yeye?
 
Sidhani, ni nyakati tu zimeamua maana suala la udhamini ni utayari wa Azam kuweka kibunda
 
Mimi nashauri Katiba ya TFF ifuatwe. Kama imeweka ukomo wa mihula miwili, basi ni vyema ukafuatwa. Leodgar Chilla Tenga alikuwa ni rais bora kabisa wa TFF. Lakini muda wake ulipofika, aliondoka kwa hiyari.

Hivyo tuachane na haya mawazo mfu ya kufikiri mtu mmoja ndiyo ana uwezo wa kuongoza kuliko wengine
 
yeye ndio anadhamini kwa pesa yake, yeye ndio anaingia uwanjani kucheza? au nini amefanya specifically? Yeye mshabiki wa simba siku zote huwa anaizunguka yanga ishindwe utasemaje kufanikiwa kwa yanga kumetokana na yeye?
Usisahau kuwa ni Karia aliyeruhusu Yanga na timu nyingine ziruhusiwe kusajili wachezaji 12 wa kigeni, maana yake angesema ni wachezaji 3 TU wa kigeni tusingeweza kuwaona Maxi, Aziz, zouzou, aucho, musonda, lomalisa, diara, na Yao uwanjani kwa wakati mmoja kwenye mechi moja wakicheza pamoja. Sasa hivi kwenye mechi za Yanga unaona wazawa 3 TU.
 
Nilijua tu kuna propaganda za tff kuongeza muda.....ngoja tusubiri tuone najua kuna nguvu kubwa huko nyuma kuongeza muda......katiba !! Ngoja tuone
 
Mimi nashauri Katiba ya TFF ifuatwe. Kama imeweka ukomo wa mihula miwili, basi ni vyema ukafuatwa. Leodgar Chilla Tenga alikuwa ni rais bora kabisa wa TFF. Lakini muda wake ulipofika, aliondoka kwa hiyari.

Hivyo tuachane na haya mawazo mfu ya kufikiri mtu mmoja ndiyo ana uwezo wa kuongoza kuliko wengine
Uko sahihi, lakini hii demokrasia ndio chanzo Cha nchi zetu kuvurugika na kubakia nyuma kama hivi. Uingereza waliitawala dunia na wanaendelea kusikika ingawa wao Wana uongozi wa kifalme (no democracy), unataka hutaki mfalme ndio kiongozi wa nchi. Maendeleo ya Rwanda, Uganda na Tanzania Yana tofauti gani kubwa sana ingawa Rwanda na Uganda Wana Marais haohao miaka yote? Je, Tanzania na Kenya tunaobadilisha Marais wetu kila miaka 10 kupita tuna nafuu gani kuliko Uganda na Rwanda? Tuanzie hapo kwanza
 
Nilijua tu kuna propaganda za tff kuongeza muda.....ngoja tusubiri tuone najua kuna nguvu kubwa huko nyuma kuongeza muda......katiba !! Ngoja tuone
Wala hakuna mpango wowote, haya ni maoni na maono yangu binafsi. TFF na serikali ya Mama Samia wameanzisha jambo lao la 2027, wamejikomiti kuwa wataandaa mazingira ya mashindano hayo kufanyika Tanzania. Hili ni jambo kubwa sana kisera na kibajeti kulitimiza kwa 100% maana 2027 sio mbali sana. Mfano, unaweza kumchagua Rais wa nchi na rais wa TFF mpya mwenye vipaumbele tofauti na afcon/mpira, hatakubali atenge pesa nyingi hivyo kujenga viwanja na badala akatenga hela nyingi kwenda kuchimba mabwawa ya samaki kila wilaya kama aliyoahidi wakati wa kampeni zake za uchaguzi. Na yule wa TFF akasema kipaumbele ni kujenga academics kwa Soka la vijana, au serikali na TFF wakavirugana. Tumeshaona nchi zikipokwa kuandaa mashindano na kupewa nchi nyingine.
 
Wala hakuna mpango wowote, haya ni maoni na maono yangu binafsi. TFF na serikali ya Mama Samia wameanzisha jambo lao la 2027, wamejikomiti kuwa wataandaa mazingira ya mashindano hayo kufanyika Tanzania. Hili ni jambo kubwa sana kisera na kibajeti kulitimiza kwa 100% maana 2027 sio mbali sana. Mfano, unaweza kumchagua Rais wa nchi na rais wa TFF mpya mwenye vipaumbele tofauti na afcon/mpira, hatakubali atenge pesa nyingi hivyo kujenga viwanja na badala akatenga hela nyingi kwenda kuchimba mabwawa ya samaki kila wilaya kama aliyoahidi wakati wa kampeni zake za uchaguzi. Na yule wa TFF akasema kipaumbele ni kujenga academics kwa Soka la vijana, au serikali na TFF wakavirugana. Tumeshaona nchi zikipokwa kuandaa mashindano na kupewa nchi nyingine.
Hujanijibu....hapo umepiga siasa
 
Back
Top Bottom