mangosutu
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 684
- 955
Mtoa maada inaonekana unamjua zaid uyu mama,ni kazi gani south Africa alikuwa anafanya hadi kulipwa 15,000 USD..mpaka sas amefanya lipi TIC la maana astahili kulipwa mshahara huo TZ..umesoma report ya CAG,ebu kaipitie na wew alaf uje kusema kama anasatahili kulipwa mshahara huoo...
soma hapo uone uteuzi wake, kazi ya awali na elimu yake. kama sababu ya kufukuzwa ndio iyo iliyotolewa , uyu dada ajatendewa haki