Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,692
- 26,195
Busara gani?Da Mange katika busara zake.
Busara gani?Da Mange katika busara zake.
Huyu mtoto anafaa kupuuzwa.
Hiyo hapo
Acha ushamba wako Nyumbu ni CCM kwani hata mbugani nyumbu ni wengi kama walivyo wanachama wa CCM, ujinga wako peleka huko CCM kwani ubaya wote upo CCM lakini wakitubu huja chadema na kuwaonbea kwa mungu wanakuwa wema, kazi ya Upinzani ni kuikosoa serikali hakuna siku upinzani utaisifia CCM kwani haina mazuri mpaka sasa wizi upo na sasa kuna Ufisadi kupitia Lipumba na Msajili pesa inachukuliwa Hazina anapewa Bashite na kumkabidhi Lipumba kwa ajili ya kuua CUF kuhujumu chadema , Wafu wapi? Wangekuwa wafu msingehangaika kuwapiga Risasi na kuwabambikia kesi visasi kukomoana na unyama mwingi. Mfu asiye na uhai msingetumia mabilioni ya pesa za Umma kumdhoofisha, wizi pesa za ujenzi wa chato Airport, ununuzi wa ndege kienyeji pasipo bunge kupitisha unataka Wapinzani wakae kimya? Ufisadi ujenzi wa Reli Dsm Airport , kivuko, mabehewa, nyumba za serikali, NIDA, NSSF , TTCL , ATC na kote mnapitawala CCM upinzani wanapata mgao?Salary Slip huo ujinga upeleke kwenye blog za chadema..
Najua mnataman sana mange awe msemaji ya chama chenu lakn mmeshindwa kwakuwa ameshakuwa most wanted,
Hivyo nyinyi manyumbu ambao mlimtukana kikwete lakn leo mmemsifia, mlimtukana lowasa lakn Leo amekuwa ndio mkombozi wenu , mlimtukana nyalandu lakn Leo amekuwa ndio dume lenu la mbegu mpaka amekuja kiwapandikizia mbegu bora nyinyi ndio muuchukue huo ushauri maana mpaka sasa mmekuwa wafu msio na uhai
Kweli kabsa kwa sasa Nchi inaongozwa kwa Akili ndogo na fikra za Bashite Maliyamungu wa Uganda, Mtukufu haambiwi hasikii Limbwata la Bashite Maliyamungu limemganda kichwani, Ndiyo maana alikubali Bashite aongoze kikosi kwenda kumpiga Risasi Lisu pasipo kujua kuwa kuna Mungu na malaika wanaomlinda Lisu, na sasa Maliyamungu Bashite anahaha kwa waganga wa kienyeji usiku na mchana akiamini uchawi utazuia Lisu asipone akarudi Tanzania na kuwataja waliompiga Risasi, Magufuli yeye kama yeye hakuwa na Roho mbaya kilichokuja kumharibu ni kuamua kupokea Ushauri wa Bashite kuliko Ushauri wowote ulee.
Hiyo hapo
Angalia nalo nyumbu jike hili..Acha ushamba wako Nyumbu ni CCM kwani hata mbugani nyumbu ni wengi kama walivyo wanachama wa CCM, ujinga wako peleka huko CCM kwani ubaya wote upo CCM lakini wakitubu huja chadema na kuwaonbea kwa mungu wanakuwa wema, kazi ya Upinzani ni kuikosoa serikali hakuna siku upinzani utaisifia CCM kwani haina mazuri mpaka sasa wizi upo na sasa kuna Ufisadi kupitia Lipumba na Msajili pesa inachukuliwa Hazina anapewa Bashite na kumkabidhi Lipumba kwa ajili ya kuua CUF kuhujumu chadema , Wafu wapi? Wangekuwa wafu msingehangaika kuwapiga Risasi na kuwabambikia kesi visasi kukomoana na unyama mwingi. Mfu asiye na uhai msingetumia mabilioni ya pesa za Umma kumdhoofisha, wizi pesa za ujenzi wa chato Airport, ununuzi wa ndege kienyeji pasipo bunge kupitisha unataka Wapinzani wakae kimya? Ufisadi ujenzi wa Reli Dsm Airport , kivuko, mabehewa, nyumba za serikali, NIDA, NSSF , TTCL , ATC na kote mnapitawala CCM upinzani wanapata mgao?
Kumbe ndio huyu!!!.?Tangu mange akuseme kuwa unauza 0713 umekuwa mtu wa kumdiss sana
Naomba wahusika mmusukumizie huu ujumbe kama mlivyomsukumizia Urais
Hiyo hapo
Unadhihirisha UVCCM ni mkusanyiko wa vijana wajinga, badala ya kushughulika na hoja za Mange unaanza kubwabwaja upuuzi hapa!Salary Slip huo ujinga upeleke kwenye blog za chadema..
Najua mnataman sana mange awe msemaji ya chama chenu lakn mmeshindwa kwakuwa ameshakuwa most wanted,
Hivyo nyinyi manyumbu ambao mlimtukana kikwete lakn leo mmemsifia, mlimtukana lowasa lakn Leo amekuwa ndio mkombozi wenu , mlimtukana nyalandu lakn Leo amekuwa ndio dume lenu la mbegu mpaka amekuja kiwapandikizia mbegu bora nyinyi ndio muuchukue huo ushauri maana mpaka sasa mmekuwa wafu msio na uhai
Ona sasa huyu.. Hivi mtu na akili zako timamu utaanzia wapi kishughulikia maada za mange?Unadhihirisha UVCCM ni mkusanyiko wa vijana wajinga, badala ya kushughulika na hoja za Mange unaanza kubwabwaja upuuzi hapa!
Busara za kuku unazionaje?Siku zote hata Kuku akijua kuwa leo anaenda ' Kuchinjwa ' huwa anakuwa na busara zake zote.