Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,256
- 1,095,899
Kiherehere na kisebengo chako,sijakulazimisha uniquote. Pole sana kijana mdeki barabara
Kumbuka hata hao mabwana unaowapigia debe sie tumewaachia vijana wa chaso ndo wajibu hoja zao, hoja anayotoa m/kiti wa chama chenu sie tunawapa chaso wajibu, hao ndo level yake, na nyie wengine cjui akina mwendokasi hoja zenu zinajibiwa na wenyeviti wa s/mitaa, ndo size zenu, kwanza unanipotezea muda sibishani na mlamba nyayo, watembezee Lumumba huko uendelee kupata sembe usije kufa njaa, sioni hoja yko ya kuendelea kikujibu, mtafute kibajaji kinana akusaidie kuandika ntajibu, kama ni wewe sina muda tena