Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
Habari zenu wanabodi.
Rais wa Rwanda Paul kagame na Rais wa Marekani Donald Trump watafanya mazungumzo ya faragha baada ya mkutano wa Davos Leo. Mazungumzo haya yameombwa na Kagame mwenyewe.
Kagame ambaye ni mwenyekiti wa AU hivi sasa amekuwa na ushawishi ktk eneo la maziwa makuu na huenda suala tete la Congo DRC akaliibua ktk mazungumzo hayo yatakayokuwa ya siri kubwa mno.
Source DW
Rais wa Rwanda Paul kagame na Rais wa Marekani Donald Trump watafanya mazungumzo ya faragha baada ya mkutano wa Davos Leo. Mazungumzo haya yameombwa na Kagame mwenyewe.
Kagame ambaye ni mwenyekiti wa AU hivi sasa amekuwa na ushawishi ktk eneo la maziwa makuu na huenda suala tete la Congo DRC akaliibua ktk mazungumzo hayo yatakayokuwa ya siri kubwa mno.
Source DW