Rais Joseph Kabila wa DRC ni Mnyarwanda

Rais Joseph Kabila wa DRC ni Mnyarwanda

Hapo siamimini but inasemekana walitokea Burundi ama kongo but walipofika kwa waha walikuwa wakiulizwa "wazanaki" na ndio chimbuko la hiyo kabisa, kama walivyo wanyamwezi
Ina maana wewe unamjuwa Nyerere kuliko first born wake Andrew? hivi huu kama siyo ujinga tuuiteje
 
Inaelekea wamekubaliana tayari Wapinzani,kwamba Kabila atakaa madarakani katika kipindi cha mpito na hatagombea muhula wa tatu.
Ni dili wameifikia ambayo labda itahitaji Waziri Mkuu aliyeko sasa kubadilishwa sasa hivi.
 
Wewe ni mpuuzi mbona hii habari imeandikwa sana kwenye makala za Mwanahalisi au raia mwema kama sikosei.

Hakuna jipya au lisilojurikana, hata Wacongo wote wanajuwa kwamba Joseph Kabila si Mcongoman na si mtoto wa Kabila bali alimuadopt na ndio maana Kabila hajui Kilingara na hata last election ilibidi afanye alliance na mtoto wa Mobutu Nzanga Mobutu ili kupata kura za walingara.

Msijazane hofu isiyokuwepo, m:nashangaa ya Kabila badala ya kushangaa serikali yako ilikuwa na kina Mungai, au hujui kama Mungai ni wa Kenya?

Apiyo pia Mkenya!
 
INAJULIKANA KWAMBA LAURENT KABILA NDO ALIFANYA MPANGO WA SIRI KUMUUA BABA YAKE JOSEPH.PIA INAJULIKANA PIA JOSEPH KABILA HUENDA NDO ALIFANYA MPANGO KUMUUA LAURENT KABILA ILI KULIPIZA KISASI CHA KUUWAWA KWA BABA YAKE KULIKOFANYWA NA LAURENT KABILA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sioni dalili ya Kabila kuondoka madarakani, nadhani kifo cha Etiene Tishkedi ilikuwa nderemo kwake. Kila Mara uchaguzi ukifika husogezwa mbele.
 

Usijifanye unashuku! Huo ndiyo ukweli, nyuma ya Kabila Jr yupo Museveni na Kagame (Tutsi-hima military juntas). Pia kikosi cha kumlinda Kabila Jr ni askari maalum kutoka Rwanda. Congo lazima irudi mikononi mwa wakongo halisi na siyo vibaraka kutoka Rwanda/Uganda.

Usijifanye unashuku! Huo ndiyo ukweli, nyuma ya Kabila Jr yupo Museveni na Kagame (Tutsi-hima military juntas). Pia kikosi cha kumlinda Kabila Jr ni askari maalum kutoka Rwanda. Congo lazima irudi mikononi mwa wakongo halisi na siyo vibaraka kutoka Rwanda/Uganda.
Hii stori huwa naisikiaga sana hasa huku Karagwe Kagera
 
Back
Top Bottom