Rais Joseph Kabila wa DRC ni Mnyarwanda

Rais Joseph Kabila wa DRC ni Mnyarwanda

Uwe unasoma kwanza sio kukurupuka kama upo msituni.

Nimesema: Ni kweli kabisa Rais Kabira hafanyi vizuri anapaswa kuachia madaraka, lakini si kwa kusushiwa nk.
Wewe ndio umekurupuka mpuuzi kabisa, Kabila siyo Mcongomana na muhura wa Kabila kikatiba umeisha tarehe 20/12/2016.

Tarehe hii haikuja kwa bahati mbaya hata kwetu Rais Magufuli na kila Mtanzania anajuwa muhura wake unaisha 2020 ni lazima uchaguzi uandaliwe kabla ya muda huo, je kabira hakujuwa Wacongo wanahitaji kufanya uchaguzi baada ya kikomo cha muhura wake?

Nonsense.
 
Hivi COMRED MBWANA ALLYMTU ...YUPOO HUMU JF
....NA KAMA YUPO MBONA ANAKAA SANA KIMYAA VILE VITU VYAKEE VYA NCHI ZA MAZIWA MAKUU ATUANGUSHIEEE HUUMU
 
Wewe ndio umekurupuka mpuuzi kabisa, muhura wa Kabila kikatiba umeisha tarehe 20/12/2016.

Tarehe hii haikuja kwa bahati mbaya hata kwetu Rais Magufuli na kila Mtanzania anajuwa muhura wake unaisha 2020 ni lazima uchaguzi uandaliwe kabla ya muda huo, je kabira hakujuwa Wacongo wanahitaji kufanya uchaguzi baada ya kikomo cha muhura wake?

Nonsense.

Rais Kabila ni lazima aondoke madarakani. Umenielewa? lakini si kwa hoja dhaifu dhaifu kama zako za ukabila tafiti zinaonyesha 85% ya Watanzania Asili yao sio Tanzania ni Wageni. Kwa hiyo hoja ya kwamba ni mnyarwanda ni hoja ya kipuuzi, ijapokuwa ninajua mnapoelekea. kwamba Kagame yupo nyuma yake. Si ndiyo?
 
Rais Kabila ni lazima aondoke madarakani. Umenielewa? lakini si kwa hoja dhaifu dhaifu kama zako za ukabila tafiti zinaonyesha 85% ya Watanzania Asili yao sio Tanzania ni Wageni. Kwa hiyo hoja ya kwamba ni mnyarwanda ni hoja ya kipuuzi, ijapokuwa ninajua mnapoelekea. kwamba Kagame yupo nyuma yake. Si ndiyo?
Kabila anatakiwa kuachia madaraka kikatiba, muda wake umekwisha. Period.

Wewe mwalimu wako alipata shida sana darasani.
 
Kuna vinasaba vya ukweli naanza kuvitambua!
I'm still connecting dots...
upload_2016-12-22_14-17-57.jpeg



upload_2016-12-22_14-18-39.jpeg



upload_2016-12-22_14-20-17.jpeg




Habari za mchana? Napita tu!
 
Ipo stunning report Facebook imetumwa na Comred Mbwana Cameroo Allyamtu anasema;

Jina lake halisi ni Hyporite[Hypolite] Kanambe na ni Mtusi wa Rwanda kwa baba na mama pia ni mpwa kabisa wa Waziri wa ulinzi wa Rwanda James Kabarebe.

Baba yake ni nani?

Baba yake Joseph Kabila Adnan Christopher Kanambe alikuwa swahiba mkubwa wa Laurent Desire Kabila. Hata kwenye vita mbalimbali walishirikiana pamoja. Alipofariki Adnan Kanambe ndio Desire Kabila akamuoa mama take Hypolite Kanambe.
Mazingira ya kifo cha Adnan C. Kanambe yamekuwa ya utata kidogo mpaka Leo .Duru za uchambuzi zimedai kuwa Mzee Kabila anahusika lakini bado hazijakuwa wazi kabisa.
Ni kwli alikuwa anashurikiana na Kabila katika masusla ya vitaya msituni huko Congo ijspokuwa Adnan Kanambe alikuwa Mnyarwanda. Ngome yao ilikuwa karibu na Lake Tanganyika.
Makubsliano yao ilikuwa ni kumuondoa madarakani Mobutu kwanza halafu baadaye kuing'oa serikali ya Habyarimana.
Wanasema kwamba Adnan Kanambe yaani baba yake Joseph alikuwa jasiri sana kwenye medani za vita lakini wakati mwingine tactics zake nilikuwa zinawacost sana wanajeshi wao kutokana na kipigo cha jeshi la Mobutu.
Leo naishia hapa kwa kukaribisha maswali.
Ndimi Comred Mbwana Allyamtu.
Kwa Tanzania
+255 679 555 526
+255 765 502 057
Kwa Rwanda
+ 250 073 315 3930
+250 788 214 234
Kwa DRC
+ 243 977 860 824

mbwanaallyamtu990@gmail.com
Hata obama ni mjaluo
 
Kabila anatakiwa kuachia madaraka kikatiba, muda wake umekwisha. Period.

Wewe mwalimu wako alipata shida sana darasani.

Samahani. Wewe ni Mkimbizi wa Kongo? au Ni mpiganaji upo msituni sio? Maana huelewi kabisa. maana watu wa Musitu huwa wanavuta ile sigara Mwitu na kula Mbilikimo. Any way Nimekuelewa ni mambo ya saikolojia yanayosumbua yataisha tu Mkuu. big up Kila heri kwako na mapambano. YES You Can!!
 
Samahani. Wewe ni Mkimbizi wa Kongo? au Ni mpiganaji upo msituni sio? Maana huelewi kabisa. maana watu wa Musitu huwa wanavuta ile sigara Mwitu na kula Mbilikimo. Any way Nimekuelewa ni mambo ya saikolojia yanayosumbua yataisha tu Mkuu. big up Kila heri kwako na mapambano. YES You Can!!
Madhara ya Shisha haya.
 
Ipo stunning report Facebook imetumwa na Comred Mbwana Cameroo Allyamtu anasema;

Jina lake halisi ni Hyporite[Hypolite] Kanambe na ni Mtusi wa Rwanda kwa baba na mama pia ni mpwa kabisa wa Waziri wa ulinzi wa Rwanda James Kabarebe.

Baba yake ni nani?

Baba yake Joseph Kabila Adnan Christopher Kanambe alikuwa swahiba mkubwa wa Laurent Desire Kabila. Hata kwenye vita mbalimbali walishirikiana pamoja. Alipofariki Adnan Kanambe ndio Desire Kabila akamuoa mama take Hypolite Kanambe.
Mazingira ya kifo cha Adnan C. Kanambe yamekuwa ya utata kidogo mpaka Leo .Duru za uchambuzi zimedai kuwa Mzee Kabila anahusika lakini bado hazijakuwa wazi kabisa.
Ni kwli alikuwa anashurikiana na Kabila katika masusla ya vitaya msituni huko Congo ijspokuwa Adnan Kanambe alikuwa Mnyarwanda. Ngome yao ilikuwa karibu na Lake Tanganyika.
Makubsliano yao ilikuwa ni kumuondoa madarakani Mobutu kwanza halafu baadaye kuing'oa serikali ya Habyarimana.
Wanasema kwamba Adnan Kanambe yaani baba yake Joseph alikuwa jasiri sana kwenye medani za vita lakini wakati mwingine tactics zake nilikuwa zinawacost sana wanajeshi wao kutokana na kipigo cha jeshi la Mobutu.
Leo naishia hapa kwa kukaribisha maswali.
Ndimi Comred Mbwana Allyamtu.
Kwa Tanzania
+255 679 555 526
+255 765 502 057
Kwa Rwanda
+ 250 073 315 3930
+250 788 214 234
Kwa DRC
+ 243 977 860 824

mbwanaallyamtu990@gmail.com
Sio Mtanzania tena?
 
Nyerere ukirudi nyuma 4 generations,only 4, ni Mjaluo.
Tatizo la historia ya Mwafrika kuandikwa na mzungu ndio naliona hapa sasa, Mzanaki ni Mzanaki hawezi kuwa kinyonga na kuwa mjaluo, isipokuwa hii jamii yote hawa ni Abasuba.
 
Swali lako la kwanza jibu lake ni ndio hizo habari ni za kweli na nashangaa huenda ni wewe tu na watu wachache wasiolijuwa hili.

Fuatilia vizuri historia ya askari mamluki Banyamulenge aliowatumia Kabila Sr kumng'oa Mobutu ni watu wa kutoka wapi na ahadi yao ilikuwa wapewe nini after acomplish mission.

Nadhani ningeona umetumia akili kubwa kama ungejikita kujuwa Marekani wanaslahi gani Congo na ni nani kibaraka wa CIA.
FYI it was proved (by UN) that 95% of Banyamulenge soldiers were soldiers from the RDF (Rwanda Defence Force) ndiyo maana mwaka 2013 Tanzania, Malawi na South Africa walipewa mandate na UN kuwachakaza. Hadi leo ndiyo maana husikii habari ya waasi wa Banyamulenge mashariki mwa Congo!
 
Rais Kabila ni lazima aondoke madarakani. Umenielewa? lakini si kwa hoja dhaifu dhaifu kama zako za ukabila tafiti zinaonyesha 85% ya Watanzania Asili yao sio Tanzania ni Wageni. Kwa hiyo hoja ya kwamba ni mnyarwanda ni hoja ya kipuuzi, ijapokuwa ninajua mnapoelekea. kwamba Kagame yupo nyuma yake. Si ndiyo?

Usijifanye unashuku! Huo ndiyo ukweli, nyuma ya Kabila Jr yupo Museveni na Kagame (Tutsi-hima military juntas). Pia kikosi cha kumlinda Kabila Jr ni askari maalum kutoka Rwanda. Congo lazima irudi mikononi mwa wakongo halisi na siyo vibaraka kutoka Rwanda/Uganda.
 
Back
Top Bottom