Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
hata mwanaHALISI nadhan
Ni mwanaHALISI mkuu, nilikuwa nalo ntajaribu kulitafuta stoo - mkuu ukiangalia picha ya Joseph ukalinganisha na picha ya Adrien Christopher Kanambe wamefanana kama mapacha vile wala mtu haitaji vipimo vya DNA ku prove hilo.
Hila sina uhakika kama Joseph aliwahi kutumia jina la Kanambe wakati anasoma na kuishi DSM TANZANIA, alafu hili suala la kusema Joseph wakati mwingine alikuwa anaishi maisha ya kubangaiza hapa DAR naona hilo si kweli, Mzee Kabila alikuwa na Biashara zake za kuaminika akishilikiana na Kazzadi, hawakuwa na njaa wale labda useme jambo lingine siyo ukame wa fedha.
Joseph aliwahi kwenda Uchina kwenye mafunzo ya kijeshi, aliye mpeleka huko ni Kabila Sr.mwenyewe siamini kama Rwanda ilihusika na hilo; mambo mengine yakiwekwa chumvi yankosa credibility. Mimi ningebishi kama nisinge wahi kuona picha ya Joseph na Kanambe na ndio maana niliamua kuziweka kama kumbukumbu.