Rais John Pombe Magufuli tunaomba msamaha

Rais John Pombe Magufuli tunaomba msamaha

Joined
Nov 15, 2015
Posts
12
Reaction score
20
Mh rais sisi marafiki zako wahari yachini huku bukoba tumelazimika kukuomba msamaa make niwazi kabisa una kisasi na sisi ndani moyo wako.

Tunaamini kosa letu kubwa kwako nikitendo cha sisi kuto mpigia kura ndg khamisi suedi kagasheki ambae alikua mgombea umbunge kupita ccm jibo la bukoba mjini pamoja na madiwani wa ccm nao hatukuwapigia kura hali ilio pelekea jimbo la bukoba mjini kuongozwa na upinzani, mh raisi sisi wana bukoba hasa wa hari yachini tunaamini hilo ndilo kusa letu kubwa lililo pelekea wewe kututelekeza kiasi hiki, Mara kadhaa tumekuwa tukishuhudia na kusikia misaada ikitolewa ili tusaidie sisi tulo adhiriwa na tetemeko lakini tumeshudia misaada hiyo ikitupitia pembeni na kwenda kwa matajili wano jiweza huku nyumba za makada wa ccm zikipewa kipaumbele cha kwanza na sisi raia wakawaidi tuki wekwa pembeni.

Mh raisi tulijawa na Matumaini tulipo sikia kwenye vyomba vya habari kuwa umearisha safari ya kwenda kuhudhuri sherehe za kuapishwa kwa raisi frani hivi ambae jina lake limetutoka kidogo kwa kusema unashugulikia tetemeko, tukadhani ungekuja kujionea hali na maisha tunayo ishi lakini hukutokea, tukaendelea kujipa moyo na tuka frai zadi tuliposikia tena kuwa umeairisha safari ya kwenda ulaya kuhudhuria mkutano wa umoja wa mataifa na ukatoa sababu zile zile za kushug'ulikia tetemeko bukoba lakini napo hukuonekana mpaka Leo.

Mh Mara kadhaa tumekuwa tukisia kuwa wewe huna mausiano mazuri na viongozi wa upinzani na tulijiridhisha tulipo kusikia huko zanzibar ukisema kuwa kwenye selikali yako hukuweka wapinzani na hawato kaa waingie kamwe, ivyo tunaamini wewe kutokuja bukoba na kujionea maisha tunayo ishi ni muendelezo wa chuki dhi ya upinzani ambapo chuki hiyo inatuadhiri sisi raia wa kawaida na kama hiyo haitoshi juzu tumeumia zaidi wakati ukizindua ndege pale ulipo sema unampango wa kununua mandege mengine mkubwa mawili na ukasema fedha zipo zimesha tengwa, kiukweli tumeumia miyoni mwetu kuaona tuna teseka na kulala nje lakini selikali yetu ina ela za kununua ndege, huku tukiambulia misaada ya maneno tu.

Mh raisi baada ya kukuomba msamaa tunauomba uje ujionee mwenyewe maisha tunayo ishi sisi raia wako ikiwezekana kwaba babu nchi yetu haiko vitani basi tuletee wanajeshi na wafungwa waje watujengee nyumba zetu, MUNGU AKUBARIKI MTUKUFU RAISI WETU.
 
Mh rais sisi marafiki zako wahari yachini huku bukoba tumelazimika kukuomba msamaa make niwazi kabisa una kisasi na sisi ndani moyo wako. Tunaamini kosaletu kubwa kwako nikitendo cha sisi kuto mpigia kura ndg khamisi suedi kagasheki ambae alikua mgombea umbunge kupita ccm jibo la bukoba mjini pamoja na madiwani wa ccm nao hatukuwapigia kura hali ilio pelekea jimbo la bukoba mjini kuongozwa na upinzani, mh raisi sisi wana bukoba hasa wa hari yachini tunaamini hilo ndilo kusa letu kubwa lililo pelekea wewe kututelekeza kiasi hiki , Mara kadhaa tumekuwa tukishuhudia na kusikia misaada ikitolewa ili tusaidie sisi tulo adhiriwa na tetemeko lakini tumeshudia misaada hiyo ikitupitia pembeni na kwenda kwa matajili wano jiweza huku nyumba za makada wa ccm zikipewa kipaumbele cha kwanza na sisi raia wakawaidi tuki wekwa pembeni. Mh raisi tulijawa na Matumaini tulipo sikia kwenye vyomba vya habari kuwa umearisha safari ya kwenda kuhudhuri sherehe za kuapishwa kwa raisi frani hivi ambae jina lake limetutoka kidogo kwa kusema unashugulikia tetemeko, tukadhani ungekuja kujionea hali na maisha tunayo ishi lakini hukutokea, tukaendelea kujipa moyo na tuka frai zadi tuliposikia tena kuwa umeairisha safari ya kwenda ulaya kuhudhuria mkutano wa umoja wa mataifa na ukatoa sababu zile zile za kushug'ulikia tetemeko bukoba lakini napo hukuonekana mpaka Leo. Mh Mara kadhaa tumekuwa tukisia kuwa wewe huna mausiano mazuri na viongozi wa upinzani na tulijiridhisha tulipo kusikia huko zanzibar ukisema kuwa kwenye selikali yako hukuweka wapinzani na hawato kaa waingie kamwe, ivyo tunaamini wewe kutokuja bukoba na kujionea maisha tunayo ishi ni muendelezo wa chuki dhi ya upinzani ambapo chuki hiyo inatuadhiri sisi raia wa kawaida na kama hiyo haitoshi juzu tumeumia zaidi wakati ukizindua ndege pale ulipo sema unampango wa kununua mandege mengine mkubwa mawili na ukasema fedha zipo zimesha tengwa, kiukweli tumeumia miyoni mwetu kuaona tuna teseka na kulala nje lakini selikali yetu ina ela za kununua ndege, huku tukiambulia misaada ya maneno tu. Mh raisi baada ya kukuomba msamaa tunauomba uje ujionee mwenyewe maisha tunayo ishi sisi raia wako ikiwezekana kwaba babu nchi yetu haiko vitani basi tuletee wanajeshi na wafungwa waje watujengee nyumba zetu, MUNGU AKUBARIKI MTUKUFU RAISI WETU.
Weka paragraph ili kuturahisishia wasomaji..lakini pia ili kutenganisha mawzo yako.....
 
Mlikosea sana kumpatia kura mnafiki wa chadema. Ila suala la misaada au utu haliangalii chama wala dini wala kabila, huduma mtapata kama kawaida.
 
Mh rais sisi marafiki zako wahari yachini huku bukoba tumelazimika kukuomba msamaa make niwazi kabisa una kisasi na sisi ndani moyo wako. Tunaamini kosaletu kubwa kwako nikitendo cha sisi kuto mpigia kura ndg khamisi suedi kagasheki ambae alikua mgombea umbunge kupita ccm jibo la bukoba mjini pamoja na madiwani wa ccm nao hatukuwapigia kura hali ilio pelekea jimbo la bukoba mjini kuongozwa na upinzani, mh raisi sisi wana bukoba hasa wa hari yachini tunaamini hilo ndilo kusa letu kubwa lililo pelekea wewe kututelekeza kiasi hiki , Mara kadhaa tumekuwa tukishuhudia na kusikia misaada ikitolewa ili tusaidie sisi tulo adhiriwa na tetemeko lakini tumeshudia misaada hiyo ikitupitia pembeni na kwenda kwa matajili wano jiweza huku nyumba za makada wa ccm zikipewa kipaumbele cha kwanza na sisi raia wakawaidi tuki wekwa pembeni. Mh raisi tulijawa na Matumaini tulipo sikia kwenye vyomba vya habari kuwa umearisha safari ya kwenda kuhudhuri sherehe za kuapishwa kwa raisi frani hivi ambae jina lake limetutoka kidogo kwa kusema unashugulikia tetemeko, tukadhani ungekuja kujionea hali na maisha tunayo ishi lakini hukutokea, tukaendelea kujipa moyo na tuka frai zadi tuliposikia tena kuwa umeairisha safari ya kwenda ulaya kuhudhuria mkutano wa umoja wa mataifa na ukatoa sababu zile zile za kushug'ulikia tetemeko bukoba lakini napo hukuonekana mpaka Leo. Mh Mara kadhaa tumekuwa tukisia kuwa wewe huna mausiano mazuri na viongozi wa upinzani na tulijiridhisha tulipo kusikia huko zanzibar ukisema kuwa kwenye selikali yako hukuweka wapinzani na hawato kaa waingie kamwe, ivyo tunaamini wewe kutokuja bukoba na kujionea maisha tunayo ishi ni muendelezo wa chuki dhi ya upinzani ambapo chuki hiyo inatuadhiri sisi raia wa kawaida na kama hiyo haitoshi juzu tumeumia zaidi wakati ukizindua ndege pale ulipo sema unampango wa kununua mandege mengine mkubwa mawili na ukasema fedha zipo zimesha tengwa, kiukweli tumeumia miyoni mwetu kuaona tuna teseka na kulala nje lakini selikali yetu ina ela za kununua ndege, huku tukiambulia misaada ya maneno tu. Mh raisi baada ya kukuomba msamaa tunauomba uje ujionee mwenyewe maisha tunayo ishi sisi raia wako ikiwezekana kwaba babu nchi yetu haiko vitani basi tuletee wanajeshi na wafungwa waje watujengee nyumba zetu, MUNGU AKUBARIKI MTUKUFU RAISI WETU.
Ndugu mwananchi, kaandikeni vizuri barua yenu ieleweke kwanza halafu baada ya hapo mjiandae kuitwa kwa mahojiano kuthibisha hayo yote mliyoyasema hapo juu
 
Mhh inaumiza post yako kwa mwenye akili na uwezo wa kufikili na si kufikiliwa amewasilisha mengi polen mola yu pamoja nanyi kwani imeandikwa alaaniwe amtegemeaye mwanadamu
 
Acha kulalamika ushaambiwa fanyakazi au mfanyekazi..mlikosea kupokea miaada ya maadui zetu. Mtaisoma namba sasa..sisi mbele kwa mbeleee. Misaada ikitosha inapopelekwa mtaletewa. Vuta subira lakini ndio mjifunze sasa kama mshagundua kosa..
 
Acha kulalamika ushaambiwa fanyakazi au mfanyekazi..mlikosea kupokea miaada ya maadui zetu. Mtaisoma namba sasa..sisi mbele kwa mbeleee. Misaada ikitosha inapopelekwa mtaletewa. Vuta subira lakini ndio mjifunze sasa kama mshagundua kosa..
kosa lipi? leo kwenu... zi zamu zamu mjue...
 
Kwani mfumo wa vyama vingi ulikuwa introduced kwa lengo gani haswa. Kama CCM hawapendi upinzani si wafute Multi party system wawe na mfumo mmoja wa chama kimoja.

Sioni sababu ya kuweka visasi kwa wananchi kisa eti hawajakupigia kura. Kinachotakiwa chama chochote kinapoona kimekosa kura sehemu fulani basi ni jukumu lao kupeleka huduma nzuri zaidi sehemu hiyo ili wananchi wawaamini na kuwapigia kura.

Hii era tuliyopo ni ukimsusa mwananchi ni kuendelea kumfanya akuchukie zaidi na zaidi.

Nawashauri waadhirika wa tetemeko wasifunge mikono na kusubiria hiyo misaada isiyoeleweka. Kikubwa jikung'uteni vumbi, na kutambua tu hiyo ni hasara tu imejitokeza kama hasara nyingine katika maisha.

Mwenye kujenga kakibanda ajenge na maisha yaendelee. Ukitegemea msaada utapoteza muda wako mwingi sana na kuja kuujutia baadae. Panga maisha upya, mikakati mipya, na maisha yatasonga mbele tu.
 
Visingizio muhimu kutoka nyumbani Bukoba:
Vita vya Kagera
Ukimwi
Migomba na mibuni ilishambuliwa na "mnyauko"
Tetemeko
JPM katutenga kisa tulichagua UKAWA.

Ukweli:
Nyumba zilizobomolewa na tetemeko 97% zilikuwa za urithi, angalia zilivyozeeka...yaani wanaojiita waathirika wengi walikuwa wanaishi kwa babu zao.

Hakuna familia hata moja iliyopoteza akiba ya chakula... hakuna hata media moja iliyoripoti uharibifu wa chakula. Mhaya Hana utamaduni wa kuweka akiba ya chakula iwe mahindi au maharage.

Mh. JPM umefanya mengi Kama rais kwa ajili ya ndugu zetu hawa ila tatizo lao sio tetemeko, Uvivu, uvivu, uvivu (Obunafu endya' mazi, pamoja na kupenda umaarufu wa kijinga.
 
Unajua uandishi wewe!!!?
Pangilia kwanza gazeti lako
 
Kama tunafikiri kwa namna hii basi we still have a long way to go. HOWEVER Poleni sana kagera
 
Back
Top Bottom