mbezithefighter
Member
- Nov 15, 2015
- 12
- 20
Mh rais sisi marafiki zako wahari yachini huku bukoba tumelazimika kukuomba msamaa make niwazi kabisa una kisasi na sisi ndani moyo wako.
Tunaamini kosa letu kubwa kwako nikitendo cha sisi kuto mpigia kura ndg khamisi suedi kagasheki ambae alikua mgombea umbunge kupita ccm jibo la bukoba mjini pamoja na madiwani wa ccm nao hatukuwapigia kura hali ilio pelekea jimbo la bukoba mjini kuongozwa na upinzani, mh raisi sisi wana bukoba hasa wa hari yachini tunaamini hilo ndilo kusa letu kubwa lililo pelekea wewe kututelekeza kiasi hiki, Mara kadhaa tumekuwa tukishuhudia na kusikia misaada ikitolewa ili tusaidie sisi tulo adhiriwa na tetemeko lakini tumeshudia misaada hiyo ikitupitia pembeni na kwenda kwa matajili wano jiweza huku nyumba za makada wa ccm zikipewa kipaumbele cha kwanza na sisi raia wakawaidi tuki wekwa pembeni.
Mh raisi tulijawa na Matumaini tulipo sikia kwenye vyomba vya habari kuwa umearisha safari ya kwenda kuhudhuri sherehe za kuapishwa kwa raisi frani hivi ambae jina lake limetutoka kidogo kwa kusema unashugulikia tetemeko, tukadhani ungekuja kujionea hali na maisha tunayo ishi lakini hukutokea, tukaendelea kujipa moyo na tuka frai zadi tuliposikia tena kuwa umeairisha safari ya kwenda ulaya kuhudhuria mkutano wa umoja wa mataifa na ukatoa sababu zile zile za kushug'ulikia tetemeko bukoba lakini napo hukuonekana mpaka Leo.
Mh Mara kadhaa tumekuwa tukisia kuwa wewe huna mausiano mazuri na viongozi wa upinzani na tulijiridhisha tulipo kusikia huko zanzibar ukisema kuwa kwenye selikali yako hukuweka wapinzani na hawato kaa waingie kamwe, ivyo tunaamini wewe kutokuja bukoba na kujionea maisha tunayo ishi ni muendelezo wa chuki dhi ya upinzani ambapo chuki hiyo inatuadhiri sisi raia wa kawaida na kama hiyo haitoshi juzu tumeumia zaidi wakati ukizindua ndege pale ulipo sema unampango wa kununua mandege mengine mkubwa mawili na ukasema fedha zipo zimesha tengwa, kiukweli tumeumia miyoni mwetu kuaona tuna teseka na kulala nje lakini selikali yetu ina ela za kununua ndege, huku tukiambulia misaada ya maneno tu.
Mh raisi baada ya kukuomba msamaa tunauomba uje ujionee mwenyewe maisha tunayo ishi sisi raia wako ikiwezekana kwaba babu nchi yetu haiko vitani basi tuletee wanajeshi na wafungwa waje watujengee nyumba zetu, MUNGU AKUBARIKI MTUKUFU RAISI WETU.
Tunaamini kosa letu kubwa kwako nikitendo cha sisi kuto mpigia kura ndg khamisi suedi kagasheki ambae alikua mgombea umbunge kupita ccm jibo la bukoba mjini pamoja na madiwani wa ccm nao hatukuwapigia kura hali ilio pelekea jimbo la bukoba mjini kuongozwa na upinzani, mh raisi sisi wana bukoba hasa wa hari yachini tunaamini hilo ndilo kusa letu kubwa lililo pelekea wewe kututelekeza kiasi hiki, Mara kadhaa tumekuwa tukishuhudia na kusikia misaada ikitolewa ili tusaidie sisi tulo adhiriwa na tetemeko lakini tumeshudia misaada hiyo ikitupitia pembeni na kwenda kwa matajili wano jiweza huku nyumba za makada wa ccm zikipewa kipaumbele cha kwanza na sisi raia wakawaidi tuki wekwa pembeni.
Mh raisi tulijawa na Matumaini tulipo sikia kwenye vyomba vya habari kuwa umearisha safari ya kwenda kuhudhuri sherehe za kuapishwa kwa raisi frani hivi ambae jina lake limetutoka kidogo kwa kusema unashugulikia tetemeko, tukadhani ungekuja kujionea hali na maisha tunayo ishi lakini hukutokea, tukaendelea kujipa moyo na tuka frai zadi tuliposikia tena kuwa umeairisha safari ya kwenda ulaya kuhudhuria mkutano wa umoja wa mataifa na ukatoa sababu zile zile za kushug'ulikia tetemeko bukoba lakini napo hukuonekana mpaka Leo.
Mh Mara kadhaa tumekuwa tukisia kuwa wewe huna mausiano mazuri na viongozi wa upinzani na tulijiridhisha tulipo kusikia huko zanzibar ukisema kuwa kwenye selikali yako hukuweka wapinzani na hawato kaa waingie kamwe, ivyo tunaamini wewe kutokuja bukoba na kujionea maisha tunayo ishi ni muendelezo wa chuki dhi ya upinzani ambapo chuki hiyo inatuadhiri sisi raia wa kawaida na kama hiyo haitoshi juzu tumeumia zaidi wakati ukizindua ndege pale ulipo sema unampango wa kununua mandege mengine mkubwa mawili na ukasema fedha zipo zimesha tengwa, kiukweli tumeumia miyoni mwetu kuaona tuna teseka na kulala nje lakini selikali yetu ina ela za kununua ndege, huku tukiambulia misaada ya maneno tu.
Mh raisi baada ya kukuomba msamaa tunauomba uje ujionee mwenyewe maisha tunayo ishi sisi raia wako ikiwezekana kwaba babu nchi yetu haiko vitani basi tuletee wanajeshi na wafungwa waje watujengee nyumba zetu, MUNGU AKUBARIKI MTUKUFU RAISI WETU.