Rais Jammeh wa Gambia acharuka!

Rais Jammeh wa Gambia acharuka!

Askari Kanzu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
4,596
Reaction score
1,236
*Nitawafukuza asilimia 82 ya wafanyakazi wote sababu ya uzembe
*Hivi sasa nitakuwa hatari zaidi ya wakati nilipokuwa ninavaa kijeshi
*Nitaibadilisha Gambia kuwa taifa tamalaki (superpower) ndani ya miaka mitano
*Mnaouza mihadarati mtakiona cha moto


Gambia's Yahya Jammeh threatens 'lazy workers'

19 January 2012
Gambian-President-Yahya-Jammeh1.jpg President Jammeh also promised "zero tolerance" on corruption and drugs

Yahya Jammeh has been sworn in for a fourth term as Gambia's president and promised to "wipe out 82%" of workers, accusing them of being lazy.

The former army officer promised to be "even more dangerous than when I was in uniform". He also vowed to turn his tiny West African nation into an "economic superpower" over the next five years.

President Jammeh first seized power in 1994 but was re-elected in December in a widely criticised poll.

"You cannot be in your offices every day doing nothing... and at the end of the day you expect to be paid," he said on a televised address on Wednesday.

"This has to stop. You either do your work or leave or go to jail," the president said.

"I will wipe out almost 82% of those in the workforce in the next five years starting this Friday unless they change their attitudes," he said - without elaborating.

Mr Jammeh also promised "zero tolerance" on corruption and drugs.

The Gambia - a popular destination for foreign tourists - has recently become a key transit point for cocaine trafficked from Latin America.

- BBC
Katika maraisi vilaza Africa huyu ni mmoja wapo. Maneno mengi lakini vitendo zero!
 
"You cannot be in your offices every day doing nothing... and at the end of the day you expect to be paid"

Huyu anaongelea Wagambia au Watanzania?
 
Watanzania hasa walio serikalini wanaolindwa na ufisadi na sheria mbovu....!!
Ao watanzania wengi wao hata hawamjui uyo Jammeh ni nani kwa hiyo kama Jammeh anawaongelea ao waTZ basi anapoteza muda wake!
 
Watanzania hasa walio serikalini wanaolindwa na ufisadi na sheria mbovu....!!

Kama una shughuli binafsi zinazokufanya uajiri Watanzania ndio utajuwa kuwa si Serikalini tu, ni kote. Kama Gambia ni 82% wavivu nnadiriki kusema Tanzania ni 90% wavivu, wazembe, waongo, wizi - Makazini.

Maendeleo kwa ujumla wake kwa watu wa aina yetu ni ndoto za alinacha, maendeleo watakuwa nayo hao asilimia 10 iliyobaki, wengine watabaki kulalama kutwa kucha.
 
His Excellency Sheikh Professor Alhaji Dr. Yahya Abdul-Azziz Jemus Junkung Jammeh Naasiru Deen .

The new Gaddaffi, complete with "peanut" oil money.
 
Kama una shughuli binafsi zinazokufanya uajiri Watanzania ndio utajuwa kuwa si Serikalini tu, ni kote. Kama Gambia ni 82% wavivu nnadiriki kusema Tanzania ni 90% wavivu, wazembe, waongo, wizi - Makazini.

Ukweli huu hudhihirika kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa ambapo kwenye mida ya kazi idadi ya watu, uanzishwaji wa mada, na uchangiaji wa mada huongezeka kwa kiasi kikubwa sana.

Ikifika mida ya jioni idadi ya vyote hivyo hushuka. Pia Jumamosi na Jumapili ushiriki huwa ni hafifu. Sasa hapo ni wazi kuwa ongezeko la hayo matatu niliyoyataja hutokea watu wakiwa makazini.

Kuiba muda wa kazini na kuutumia kujivinjari JF kulumbana na watu na kutongozana kwenye PM nao ni ufisadi tu.
 
Kama una shughuli binafsi zinazokufanya uajiri Watanzania ndio utajuwa kuwa si Serikalini tu, ni kote. Kama Gambia ni 82% wavivu nnadiriki kusema Tanzania ni 90% wavivu, wazembe, waongo, wizi - Makazini.

Maendeleo kwa ujumla wake kwa watu wa aina yetu ni ndoto za alinacha, maendeleo watakuwa nayo hao asilimia 10 iliyobaki, wengine watabaki kulalama kutwa kucha.

Kama wale wanaolalamika kila siku kuwa wanaonewa na wengine?
 
Ukweli huu hudhihirika kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa ambapo kwenye mida ya kazi idadi ya watu, uanzishwaji wa mada, na uchangiaji wa mada huongezeka kwa kiasi kikubwa sana.

Ikifika mida ya jioni idadi ya vyote hivyo hushuka. Pia Jumamosi na Jumapili ushiriki huwa ni hafifu. Sasa hapo ni wazi kuwa ongezeko la hayo matatu niliyoyataja hutokea watu wakiwa makazini.

Kuiba muda wa kazini na kuutumia kujivinjari JF kulumbana na watu na kutongozana kwenye PM nao ni ufisadi tu.

Mhhhh! NN kumbe huwa unachukua data kwa karibu kabisa na kuangalia jinsi watu wanavyoiba muda wa mwajiri.
 
Ukweli huu hudhihirika kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa ambapo kwenye mida ya kazi idadi ya watu, uanzishwaji wa mada, na uchangiaji wa mada huongezeka kwa kiasi kikubwa sana.

Ikifika mida ya jioni idadi ya vyote hivyo hushuka. Pia Jumamosi na Jumapili ushiriki huwa ni hafifu. Sasa hapo ni wazi kuwa ongezeko la hayo matatu niliyoyataja hutokea watu wakiwa makazini.

Kuiba muda wa kazini na kuutumia kujivinjari JF kulumbana na watu na kutongozana kwenye PM nao ni ufisadi tu.

Wizi ni wizi tu, na ufisadi ni ufisadi tu, sijui kwa nini Watanzania hatuelewi hilo!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
"You cannot be in your offices every day doing nothing... and at the end of the day you expect to be paid"

Huyu anaongelea Wagambia au Watanzania?

FF,
This is one of the confused people in Africa. Look well before rallying support on him. He makes big funny but one which makes me laugh whenever his name is mentioned, is his ability to cure AIDS by using banana or something. The guy is a dictator and seriously he is confused.
 
Watanzania hasa walio serikalini wanaolindwa na ufisadi na sheria mbovu....!!

Halafu mara nyingi, wengi hasa wale walio kwenye nafasi zenye ushawishi wa nguvu na maslahi, huwa wanaamini Tanzania ni mali yao tu wengine tunastahili kuonewa huruma ili mambo yaweze kwenda
 
FF,
This is one of the confused people in Africa. Look well before rallying support on him. He makes big funny but one which makes me laugh whenever his name is mentioned, is his ability to cure AIDS by using banana or something. The guy is a dictator and seriously he is confused.

Ndio kumaanisha hata akibahatika once in a blue moon kusema la kweli apuuzwe?

Unataka kutuambia kuwa wafanyakazi serikalini si wazembeTanzania?
 
FF,
This is one of the confused people in Africa. Look well before rallying support on him. He makes big funny but one which makes me laugh whenever his name is mentioned, is his ability to cure AIDS by using banana or something. The guy is a dictator and seriously he is confused.

Hapo nadhani FF kaangalia hoja na si mtoa hoja.

Hoja za FF na Jammeh zinasimama zenyewe
 
Ndio kumaanisha hata akibahatika once in a blue moon kusema la kweli apuuzwe?

Unataka kutuambia kuwa wafanyakazi serikalini si wazembeTanzania?

Mimi binafsi siwezi kumsikiliza huyu bwana maana ni confused and nina mashaka sana kama anamaanisha anachosema. matendo ndio muhimu kuliko maneno mengi. Well, sifagilii uzembe na kama umeona mesage yangu ya chini inajieleza wazi
 
"You cannot be in your offices every day doing nothing... and at the end of the day you expect to be paid"

Huyu anaongelea Wagambia au Watanzania?

Itakuwa anaongelea mtanzania. Halafu ni kama vile anakujua
 
Back
Top Bottom