Rais Jammeh wa Gambia acharuka!

Deeds speak louder than words. The ruler had been in power for over 20 years without any tangible achievement. Today is promising economic wonders in 5 years. What a nonsense and hypocrisy is this!!!
 
Mimi binafsi siwezi kumsikiliza huyu bwana maana ni confused and nina mashaka sana kama anamaanisha anachosema. matendo ndio muhimu kuliko maneno mengi. Well, sifagilii uzembe na kama umeona mesage yangu ya chini inajieleza wazi

Kuchangia kwenye thread hii kunaonyesha umeshamsikiliza tayari.

Alichokisema kina make sense kwa Tanzania na nchi nyingi sana Kama si zote chini ya Jangwa la Sahara. Tunazembea kazini huku tukitaraji maendeleo, haiwezikani
 
Kuchangia kwenye thread hii kunaonyesha umeshamsikiliza tayari.

Alichokisema kina make sense kwa Tanzania na nchi nyingi sana Kama si zote chini ya Jangwa la Sahara. Tunazembea kazini huku tukitaraji maendeleo, haiwezikani

Mkuu,
Africa hii kila kiongozi anasema. Nani sasa anatenda? Sijashawishika na maneno yake maana nahisi anapiga porojo tu. Aanze kwa kutenda. Mbona Kagame hatoi hizi public speech and yet Rwanda inasonga mbele??? Well, pengine wengine bado tunavutiwa na wana siasa wenye hotuba nzuri nzuri, wanaosema yale tunayotaka kuyasikia.
By the way, huyu jamaa ni mganga wa kienyeji pia?
 
Ukweli huu hudhihirika kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa ambapo kwenye mida ya kazi idadi ya watu, uanzishwaji wa mada, na uchangiaji wa mada huongezeka kwa kiasi kikubwa sana.

Ikifika mida ya jioni idadi ya vyote hivyo hushuka. Pia Jumamosi na Jumapili ushiriki huwa ni hafifu. Sasa hapo ni wazi kuwa ongezeko la hayo matatu niliyoyataja hutokea watu wakiwa makazini.

Kuiba muda wa kazini na kuutumia kujivinjari JF kulumbana na watu na kutongozana kwenye PM nao ni ufisadi tu.

Mkuu,
Hapo kwenye red ni very true yaani aproximately 95%....INA UKWELI.
 
*Nitawafukuza asilimia 82 ya wafanyakazi wote sababu ya uzembe
*Hivi sasa nitakuwa hatari zaidi ya wakati nilipokuwa ninavaa kijeshi
*Nitaibadilisha Gambia kuwa taifa tamalaki (superpower) ndani ya miaka mitano
*Mnaouza mihadarati mtakiona cha moto

Gambia's Yahya Jammeh threatens 'lazy workers'

19 January 2012
View attachment 45762President Jammeh also promised "zero tolerance" on corruption and drugs

Yahya Jammeh has been sworn in for a fourth term as Gambia's president and promised to "wipe out 82%" of workers, accusing them of being lazy.

The former army officer promised to be "even more dangerous than when I was in uniform". He also vowed to turn his tiny West African nation into an "economic superpower" over the next five years.

President Jammeh first seized power in 1994 but was re-elected in December in a widely criticised poll.

"You cannot be in your offices every day doing nothing... and at the end of the day you expect to be paid," he said on a televised address on Wednesday.

"This has to stop. You either do your work or leave or go to jail," the president said.

"I will wipe out almost 82% of those in the workforce in the next five years starting this Friday unless they change their attitudes," he said - without elaborating.

Mr Jammeh also promised "zero tolerance" on corruption and drugs.

The Gambia - a popular destination for foreign tourists - has recently become a key transit point for cocaine trafficked from Latin America.

- BBC
Katika maraisi vilaza Africa huyu ni mmoja wapo. Maneno mengi lakini vitendo zero!


Ni kauli nzito kutoka kwa mtu mwenye cheo kizito kabisa ila isije ikawa ndio zile kauli za kuingia nazo ofisini mwisho wa siku panakuwa hapana jipya kwani tumekuwa tukishuhudia kauli za namna hiyo nyingi kutoka kwa viongozi wengi wa Afrika ila baada ya muda wao wenyewe wanaanza mizinguo na hawafanyi lolote zaidi ya kuanzisha vita na kuua wananchi wasio na hatia bure, ila kama kweli atatimiza wanaweza fikia malengo yao kwani hakuna lisilowezekana.
 
nadhani hata Tz tunawahitaji viongozi kama hawa

ndio maana sisi tumelikimbia AZIMIO LA ARUSHA kwa lengo la kujinufaisha,tunahitaji mtu ambaye atakubari kulisoma upya azimio la arusha na kutueleza ubaya uliopo ktk azimio hilo,kwani viongozi wengi tz wamekuwa ni rushwa pasipo hata kuwa na huruma na walalahoi
 
Back
Top Bottom