Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,452
- 609
mh rais amerud, tunaomba awatazame watu wake kwa macho mawili
UPDATE
Msafara wake umeongozana na makamu wa rais na IGP na ndio waliompokea Airport. sijui IGP ana maagzo gan ila natumaini JK amepewa hali halisi iliyopo
UPDATE
Msafara wake umeongozana na makamu wa rais na IGP na ndio waliompokea Airport. sijui IGP ana maagzo gan ila natumaini JK amepewa hali halisi iliyopo