Habari zakunyapia nyapia kutoka SA yule rais ambaye aliingia madarakani kwa kumfanyia zengwe mwenzake Thabo Mbeki akajiuzulu. Nayeye pia siku zake zinaesabika baada ya kuwepo mashinikizo ndani na nje ya chama kumtaka ajiuzuku.
Taarifa ambazo bado hazijathibitishwa zinasema kwamba hotuba yake amepanga kuitoa alhamis kwa taifa uwenda asiitoe.
Pia tayari vyombo vya usalama na ulinz vipo tayar kwa lolote.
Ukiuwa kwa upanga na wewe pia utakufa kwa upanga.
Taarifa ambazo bado hazijathibitishwa zinasema kwamba hotuba yake amepanga kuitoa alhamis kwa taifa uwenda asiitoe.
Pia tayari vyombo vya usalama na ulinz vipo tayar kwa lolote.
Ukiuwa kwa upanga na wewe pia utakufa kwa upanga.