Rais, ichunguzeni Halmashauri ya Kyela

Rais, ichunguzeni Halmashauri ya Kyela

Baada ya kufichuka kwamba Watendaji wa Halmashauri ya Mbeya ni wezi na kuthibitika kuwa , wamechepusha mapato ya halmashauri na kugawana wanachochepusha (yaani Pasu pasu) , Nakuomba sana Mh Samia uimurike Halmashauri ya Kyela .

Halmashauri ya Wilaya hii hakuna anayeiamini tena baada ya KUGAWA SOKO LA WILAYA YA KYELA BURE KWA CCM , Soko hilo ambalo ndio lilikuwa Chanzo pekee cha Uhakika cha Mapato ya Halmashauri hiyo limegawiwa katika mazingira ambayo yamegubikwa na giza nene , Wananchi wengi wanaamini kwamba ccm inasingiziwa tu , Wanahisi kwamba soko hilo limemilikishwa kwa baadhi ya Vigogo wa ccm wilayani humo .

Wakati soko hilo inanyang'anywa Halmashauri na kupewa kinachoitwa CCM , Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo aliitwa HUNTER MWAKIFUNA , aliyekuwa Diwani wa Kata ya Ipinda , Mbunge aliitwa Dkt Harrison Mwakyembe .

Kwa ujumla Halmashauri ya Wilaya ya Kyela imekabidhi maeneo yote ya wazi na club za Pombe za kienyeji , ambazo wazee walikuwa wanajiburudisha mida ya jioni kwa ccm , Naweza kuthibitisha kwamba Club cha kienyeji kinachoitwa MKIBHEGE cha kijiji cha Bondeni , eneo la wazi ambalo wananchi walijenga mabanda ya kuuzia UBWALWA imekabidhiwa kwa ccm na wanachukua kodi .

Swali letu ni hili imekuwaje Halmashauri ya Kyela imejinyang'anya mali na kuipa ccm ? Je ni kweli jambo hili au wako Watumishi kama wale wa Mbeya wamejichepushia Mambo haya ili Wajilie Mali ya Umma ?

TUNAKUOMBA MH RAIS UIMULIKE HALMASHAURI HII KWA DARUBINI KALI
Enhee sawasawa....

Huyo ni Rais wako bwana.....japo unamkosoa kisiasa lakini pale pa umuhimu wake unapaelewa....

Limefika

Ndagha Fijo Tusekelege
 
Huyo mama hata akishikiwa mkono bwana ”mama mwizi wetu huyu hapa amuru afanywe chochote” hakuna kitu atafanya hata kuamuru aondolewe kazini tu hawezi.

Sasa mambo ni mzobe mzobe hata wewe raia wa kawaida ukipata slope shuka nayo usivunge ukikutana na shamba au eneo wazi sijui la shule au zahanati wewe uza sema umetoa mkataba kwa mwekezaji baada ya halmashauri kushindwa kuendeleza atakuelewa mama hana tabu na mtu mshahara wake unaingia ving'ora vinalia akipita ana wasiwasi gani?
Uongo wa wazi huo....

Hayajakufikia ya DED na D.C wa Mtwara ?!!!
 
Baada ya kufichuka kwamba Watendaji wa Halmashauri ya Mbeya ni wezi na kuthibitika kuwa , wamechepusha mapato ya halmashauri na kugawana wanachochepusha (yaani Pasu pasu) , Nakuomba sana Mh Samia uimurike Halmashauri ya Kyela .

Halmashauri ya Wilaya hii hakuna anayeiamini tena baada ya KUGAWA SOKO LA WILAYA YA KYELA BURE KWA CCM , Soko hilo ambalo ndio lilikuwa Chanzo pekee cha Uhakika cha Mapato ya Halmashauri hiyo limegawiwa katika mazingira ambayo yamegubikwa na giza nene , Wananchi wengi wanaamini kwamba ccm inasingiziwa tu , Wanahisi kwamba soko hilo limemilikishwa kwa baadhi ya Vigogo wa ccm wilayani humo .

Wakati soko hilo inanyang'anywa Halmashauri na kupewa kinachoitwa CCM , Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo aliitwa HUNTER MWAKIFUNA , aliyekuwa Diwani wa Kata ya Ipinda , Mbunge aliitwa Dkt Harrison Mwakyembe .

Kwa ujumla Halmashauri ya Wilaya ya Kyela imekabidhi maeneo yote ya wazi na club za Pombe za kienyeji , ambazo wazee walikuwa wanajiburudisha mida ya jioni kwa ccm , Naweza kuthibitisha kwamba Club cha kienyeji kinachoitwa MKIBHEGE cha kijiji cha Bondeni , eneo la wazi ambalo wananchi walijenga mabanda ya kuuzia UBWALWA imekabidhiwa kwa ccm na wanachukua kodi .

Swali letu ni hili imekuwaje Halmashauri ya Kyela imejinyang'anya mali na kuipa ccm ? Je ni kweli jambo hili au wako Watumishi kama wale wa Mbeya wamejichepushia Mambo haya ili Wajilie Mali ya Umma ?

TUNAKUOMBA MH RAIS UIMULIKE HALMASHAURI HII KWA DARUBINI KALI
Fanya haraka, mwone Mwambulukusi mfunguwe kesi.
 
Huyo mama hata akishikiwa mkono bwana ”mama mwizi wetu huyu hapa amuru afanywe chochote” hakuna kitu atafanya hata kuamuru aondolewe kazini tu hawezi.

Sasa mambo ni mzobe mzobe hata wewe raia wa kawaida ukipata slope shuka nayo usivunge ukikutana na shamba au eneo wazi sijui la shule au zahanati wewe uza sema umetoa mkataba kwa mwekezaji baada ya halmashauri kushindwa kuendeleza atakuelewa mama hana tabu na mtu mshahara wake unaingia ving'ora vinalia akipita ana wasiwasi gani?
Fanya tu, unangoja nini?
 
Rais Wa JMT Amesema Homera Naye Anasema Amekata Watu 40
 
Baada ya kufichuka kwamba Watendaji wa Halmashauri ya Mbeya ni wezi na kuthibitika kuwa , wamechepusha mapato ya halmashauri na kugawana wanachochepusha (yaani Pasu pasu) , Nakuomba sana Mh Samia uimurike Halmashauri ya Kyela .

Halmashauri ya Wilaya hii hakuna anayeiamini tena baada ya KUGAWA SOKO LA WILAYA YA KYELA BURE KWA CCM , Soko hilo ambalo ndio lilikuwa Chanzo pekee cha Uhakika cha Mapato ya Halmashauri hiyo limegawiwa katika mazingira ambayo yamegubikwa na giza nene , Wananchi wengi wanaamini kwamba ccm inasingiziwa tu , Wanahisi kwamba soko hilo limemilikishwa kwa baadhi ya Vigogo wa ccm wilayani humo .

Wakati soko hilo inanyang'anywa Halmashauri na kupewa kinachoitwa CCM , Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo aliitwa HUNTER MWAKIFUNA , aliyekuwa Diwani wa Kata ya Ipinda , Mbunge aliitwa Dkt Harrison Mwakyembe , sikumbuki DED aliyekuwepo .

Kwa ujumla Halmashauri ya Wilaya ya Kyela imekabidhi maeneo yote ya wazi na club za Pombe za kienyeji , ambazo wazee walikuwa wanajiburudisha mida ya jioni kwa ccm , Naweza kuthibitisha kwamba Club cha kienyeji kinachoitwa MKIBHEGE cha kijiji cha Bondeni , eneo la wazi ambalo wananchi walijenga mabanda ya kuuzia UBWALWA imekabidhiwa kwa ccm na wanachukua kodi .

Swali letu ni hili imekuwaje Halmashauri ya Kyela imejinyang'anya mali na kuipa ccm ? Je ni kweli jambo hili au wako Watumishi kama wale wa Mbeya wamejichepushia Mambo haya ili Wajilie Mali ya Umma ?

TUNAKUOMBA MH RAIS UIMULIKE HALMASHAURI HII KWA DARUBINI KALI
mbona stadium zilizojengwa kwa nguvu za wananchi mikoa yote zilishakabdhiwa
 
Tunadokezwa kwamba Tayari uchunguzi umeanza
 
Lakini Kwa nini Rais asifute kuanzia DC,DED,Kamanda wa Takukuru Wilaya na DSO? Harafu hao watu wafikishwe kortini.

Kujisemesha tuu kwamba anasubiria ripoti ya Tamisemi eti ikiwa diluted wataanza na wao haitoshi,awafute kazi ndio uchunguzi uendelee.

Hii Nchi ukiaangalia mambo yanavyokwnda Huwa inashangaza sana eti Waziri ndia aje kutolea maamuzi jambo dogo la Wizarani wakati Kuna viongozi kuanzia Mkoa Hadi kitongoji.

Ndio maana nilimsikia Prof.Assad anasema kukiuka taratibu kwa maslahi ya Nchi ni jambo zuri kuliko Kufuata taratibu zinazoumiza Nchi..
Wewe ni kama saa mbovu.
Pamoja na uchawa wako hapa umeandika mambo ya maana.
Hivi ndio inapaswa kuwa siku zote,sio kusifia tuu kusikokuwa na faida.

Hata saa mbovu kuna muda inakuwa sahihi.
Kongole sana kwa mchango wako.

Mimi nalia na Mh. Rais.
Madudu yakisemwa, yeye ambaye ana vyombo vyote ambavyo vinaweza kumpatia taarifa sahihi, anapaswa kuchukua hatua kwa kuwafuta kazi na kuhakikisha wanafikishwa mahakamani.
 
Hapo kesi ya nyani anapewa ngedere. CCM ina nguvu kuliko hata huyo unayeshtaki kwake
 
Back
Top Bottom