Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,909
- 33,485
Mbona ulikuwa unampigia chapuo mbelgiji awe rais?Nilibanwa mbavu na Nani?? Kwa Taarifa yako Mimi ni Mwanachama wa CCM tangu mwaka 1995. Wewe ulikuwa wapi enzi izo?
Mbona ulikuwa unampigia chapuo mbelgiji awe rais?Nilibanwa mbavu na Nani?? Kwa Taarifa yako Mimi ni Mwanachama wa CCM tangu mwaka 1995. Wewe ulikuwa wapi enzi izo?
Kagame kwa taarifa yako keshafanya hiyo royal tour ingia YouTube utamuonaHuko Rwanda Masokwe ndio wanatangaza Utalii hapa kwetu ni Wanasiasa ndio wamekuwa Masokwe wetu.
Acha kudandia matreni kwa mbeleTanzania inashawishi nchi za Afrika watumie Kiswahili wakati hata swala la utalii tu mnatumia mambo ya kiajabu ajabu ...... nani ni Royal Tanzania? Wafalme na watemi tuliachana nao muda mrefu. Aibu kubwa sana hii kwa Tanzania Wenye macho hawaambiwi tazama.
Huzuni na simanzi.
Acha kudandia matreni kwa mbeleTanzania inashawishi nchi za Afrika watumie Kiswahili wakati hata swala la utalii tu mnatumia mambo ya kiajabu ajabu ...... nani ni Royal Tanzania? Wafalme na watemi tuliachana nao muda mrefu. Aibu kubwa sana hii kwa Tanzania Wenye macho hawaambiwi tazama.
Huzuni na simanzi.
Mkuu kutokuja kwa watalii eti ni sababu ya gaidi la hasha kwanza huyo gaidi nani anamfahamu au ni kipi alichonacho zaidi cha kuwafanya watalii wasije Tanzania, kama kutokoja basi wasingekuja wakati Mbeligiji alipokimbia nchi kwenda kwa Amsterdam wake.Kwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii.
Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza,ni Taifa mfu,ni Taifa lililokufa,ni taifa jipya kabisa chini ya jua,na halina raslimali zozote na wala kitu chochote,sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii.
Na Kwanza hata Kama taifa halina chochote, siyo kazi ya Rais kutangaza utalii.
Zipo strategies za kutangaza utalii, Samatta ni maarufu Duniani kuliko Rais Samia.
Rais anapoenda Location kama msanii wa Bongo movie kutangaza utalii,huo mkosi mzito mno kwa taifa,watalii hawaji Tanzania eti kwa sababu Rais aliwatangazia.
Wanakuja kwa sababu usalama wao utakuwa mkubwa zaidi, huwezi kwenda kutalii kwenye Taifa ambalo kiongozi mkuu wa Chama kikubwa Cha Upinzani ni Gaidi, maana yake ni kwamba hata mawaziri nao ni magaidi.
Kenya inapokea maelfu ya watalii kwa mwaka kuliko Tanza,ni nani alimwona Rais wa Kenya akienda location kutangaza utalii?
Yaani Serikali nzima yenye wasomi wa kada zote haina strategies za kutangaza utalii hadi Rais aende location?
Mbona ni rahisi mno kutangaza utalii kuliko ilivyo rahisi kunywa maji?
Tanzania hii yenye vivutio vyote leo hata Rwanda wameanza kuwazidi kupokea watalii wengi kwa sababu ya strategies.
Rais ataenda Location zote,na mtatengeneza filamu zote na watalii hamtawaona kwa sababu hamna strategies.
Nyie strategies zenu ni kuua Upinzani tu haya mengine zero kabisa.
Kiswahili Chimps na Gorillas wote si huwa tunawaita Masokwe.Unamaanisha sokwe kama wale wa Gombe mkuu?
Kwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii.
Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza,ni Taifa mfu,ni Taifa lililokufa,ni taifa jipya kabisa chini ya jua,na halina raslimali zozote na wala kitu chochote,sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii.
Na Kwanza hata Kama taifa halina chochote, siyo kazi ya Rais kutangaza utalii.
Zipo strategies za kutangaza utalii, Samatta ni maarufu Duniani kuliko Rais Samia.
Rais anapoenda Location kama msanii wa Bongo movie kutangaza utalii,huo mkosi mzito mno kwa taifa,watalii hawaji Tanzania eti kwa sababu Rais aliwatangazia.
Wanakuja kwa sababu usalama wao utakuwa mkubwa zaidi, huwezi kwenda kutalii kwenye Taifa ambalo kiongozi mkuu wa Chama kikubwa Cha Upinzani ni Gaidi, maana yake ni kwamba hata mawaziri nao ni magaidi.
Kenya inapokea maelfu ya watalii kwa mwaka kuliko Tanza,ni nani alimwona Rais wa Kenya akienda location kutangaza utalii?
Yaani Serikali nzima yenye wasomi wa kada zote haina strategies za kutangaza utalii hadi Rais aende location?
Mbona ni rahisi mno kutangaza utalii kuliko ilivyo rahisi kunywa maji?
Tanzania hii yenye vivutio vyote leo hata Rwanda wameanza kuwazidi kupokea watalii wengi kwa sababu ya strategies.
Rais ataenda Location zote,na mtatengeneza filamu zote na watalii hamtawaona kwa sababu hamna strategies.
Nyie strategies zenu ni kuua Upinzani tu haya mengine zero kabisa.
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Utumbo mtupu kwenye swali gumu. Matajiri wa ulaya na familia zao hawahitaji kuambiwa mambo ya Tanzania, wewe ni mshamba wa wapi? Weka hiyo TV ambayo unaisema ni ya wapi? Unasema ni maarufu nchi gani weka fact wacha kuleta ngonjera.Acha kudandia matreni kwa mbele
Royal tour ni kipindi cha utalii cha tivii cha huko ulaya
Ambapo wana familia wa familia za kifalme wanatembelea nchi za kitalii, sasa safari hii wamekuja tanzania
Ndio rais kajumuika nao kwenye kipindi chao
Kwasababu ni kipindi maarufu ambacho wale matajiri wa kubwa wa ulaya wanaopenda utalii hukifuatilia
Kwa hiyo laumuni vyombo vyenu vya habari kutotoa taarifa kiundani
Kwanza hii mada ingepelekwa tu celebrirty forumJamani tusikalili, muacheni Mama aitangaze Tanzania. Nina uhakika Tanzania itajitangaza kupitia yeye.
Kwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii.
Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza,ni Taifa mfu,ni Taifa lililokufa,ni taifa jipya kabisa chini ya jua,na halina raslimali zozote na wala kitu chochote,sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii.
Na Kwanza hata Kama taifa halina chochote, siyo kazi ya Rais kutangaza utalii.
Zipo strategies za kutangaza utalii, Samatta ni maarufu Duniani kuliko Rais Samia.
Rais anapoenda Location kama msanii wa Bongo movie kutangaza utalii,huo mkosi mzito mno kwa taifa,watalii hawaji Tanzania eti kwa sababu Rais aliwatangazia.
Wanakuja kwa sababu usalama wao utakuwa mkubwa zaidi, huwezi kwenda kutalii kwenye Taifa ambalo kiongozi mkuu wa Chama kikubwa Cha Upinzani ni Gaidi, maana yake ni kwamba hata mawaziri nao ni magaidi.
Kenya inapokea maelfu ya watalii kwa mwaka kuliko Tanza,ni nani alimwona Rais wa Kenya akienda location kutangaza utalii?
Yaani Serikali nzima yenye wasomi wa kada zote haina strategies za kutangaza utalii hadi Rais aende location?
Mbona ni rahisi mno kutangaza utalii kuliko ilivyo rahisi kunywa maji?
Tanzania hii yenye vivutio vyote leo hata Rwanda wameanza kuwazidi kupokea watalii wengi kwa sababu ya strategies.
Rais ataenda Location zote,na mtatengeneza filamu zote na watalii hamtawaona kwa sababu hamna strategies.
Nyie strategies zenu ni kuua Upinzani tu haya mengine zero kabisa.
Ujaona utofauti au mfanano kati ya Royal tour na anachofanya mama yetu?
Kwa sababu sikuwa sawa na ukatili wa MagufuliMbona ulikuwa unampigia chapuo mbelgiji awe rais?
Angefanya Biden mngesifia! Watanzania baadhi tunapenda kukosoa kila kitu. Ndiyo Rais wetu kaanzisha safari. Royal family ya British iliwahi kutangaza vivutio vya utalii vya nchi yao.Kwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii.
Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza,ni Taifa mfu,ni Taifa lililokufa,ni taifa jipya kabisa chini ya jua,na halina raslimali zozote na wala kitu chochote,sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii.
Na Kwanza hata Kama taifa halina chochote, siyo kazi ya Rais kutangaza utalii.
Zipo strategies za kutangaza utalii, Samatta ni maarufu Duniani kuliko Rais Samia.
Rais anapoenda Location kama msanii wa Bongo movie kutangaza utalii,huo mkosi mzito mno kwa taifa,watalii hawaji Tanzania eti kwa sababu Rais aliwatangazia.
Wanakuja kwa sababu usalama wao utakuwa mkubwa zaidi, huwezi kwenda kutalii kwenye Taifa ambalo kiongozi mkuu wa Chama kikubwa Cha Upinzani ni Gaidi, maana yake ni kwamba hata mawaziri nao ni magaidi.
Kenya inapokea maelfu ya watalii kwa mwaka kuliko Tanza,ni nani alimwona Rais wa Kenya akienda location kutangaza utalii?
Yaani Serikali nzima yenye wasomi wa kada zote haina strategies za kutangaza utalii hadi Rais aende location?
Mbona ni rahisi mno kutangaza utalii kuliko ilivyo rahisi kunywa maji?
Tanzania hii yenye vivutio vyote leo hata Rwanda wameanza kuwazidi kupokea watalii wengi kwa sababu ya strategies.
Rais ataenda Location zote,na mtatengeneza filamu zote na watalii hamtawaona kwa sababu hamna strategies.
Nyie strategies zenu ni kuua Upinzani tu haya mengine zero kabisa.
Royal tour ya Kagame ilikuwa imejaa Location kibao na filming kama ya Samia?
Hujui hata maana ya Royal tour, toto haramu wewe.
Kwa tafsiri rahisi hakuna wa kutangaza utalii ila Rais tu,!Sasa Rais hutangaza nini, jamani upumbafu mwingine, hivi kunyamaza huwa mnaona nini? Tunajua tu mpo.
Muache chopra aiigize muzi kikubwa Ndugai yeye awe charantejaKwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii.
Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza,ni Taifa mfu,ni Taifa lililokufa,ni taifa jipya kabisa chini ya jua,na halina raslimali zozote na wala kitu chochote,sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii.
Na Kwanza hata Kama taifa halina chochote, siyo kazi ya Rais kutangaza utalii.
Zipo strategies za kutangaza utalii, Samatta ni maarufu Duniani kuliko Rais Samia.
Rais anapoenda Location kama msanii wa Bongo movie kutangaza utalii,huo mkosi mzito mno kwa taifa,watalii hawaji Tanzania eti kwa sababu Rais aliwatangazia.
Wanakuja kwa sababu usalama wao utakuwa mkubwa zaidi, huwezi kwenda kutalii kwenye Taifa ambalo kiongozi mkuu wa Chama kikubwa Cha Upinzani ni Gaidi, maana yake ni kwamba hata mawaziri nao ni magaidi.
Kenya inapokea maelfu ya watalii kwa mwaka kuliko Tanza,ni nani alimwona Rais wa Kenya akienda location kutangaza utalii?
Yaani Serikali nzima yenye wasomi wa kada zote haina strategies za kutangaza utalii hadi Rais aende location?
Mbona ni rahisi mno kutangaza utalii kuliko ilivyo rahisi kunywa maji?
Tanzania hii yenye vivutio vyote leo hata Rwanda wameanza kuwazidi kupokea watalii wengi kwa sababu ya strategies.
Rais ataenda Location zote,na mtatengeneza filamu zote na watalii hamtawaona kwa sababu hamna strategies.
Nyie strategies zenu ni kuua Upinzani tu haya mengine zero kabisa.
Rais pekee mwanamke Aftika, watu watataka kufahamu zaidiMwacheni mama afanye kazi.