Rais huwa hatangazi Utalii

Huko Rwanda Masokwe ndio wanatangaza Utalii hapa kwetu ni Wanasiasa ndio wamekuwa Masokwe wetu.
Kagame kwa taarifa yako keshafanya hiyo royal tour ingia YouTube utamuona

Naona akili zimewaruka

Hata Kama hamumupendi Mama Samia lakini si kuzua uongo Kama huu kuwa Rwanda hawajafanya Royal Tour
 
Tanzania inashawishi nchi za Afrika watumie Kiswahili wakati hata swala la utalii tu mnatumia mambo ya kiajabu ajabu ...... nani ni Royal Tanzania? Wafalme na watemi tuliachana nao muda mrefu. Aibu kubwa sana hii kwa Tanzania Wenye macho hawaambiwi tazama.

Huzuni na simanzi.
 
Tanzania inashawishi nchi za Afrika watumie Kiswahili wakati hata swala la utalii tu mnatumia mambo ya kiajabu ajabu ...... nani ni Royal Tanzania? Wafalme na watemi tuliachana nao muda mrefu. Aibu kubwa sana hii kwa Tanzania Wenye macho hawaambiwi tazama.

Huzuni na simanzi.
Acha kudandia matreni kwa mbele
Royal tour ni kipindi cha utalii cha tivii cha huko ulaya
Ambapo wana familia wa familia za kifalme wanatembelea nchi za kitalii, sasa safari hii wamekuja tanzania
Ndio rais kajumuika nao kwenye kipindi chao
Kwasababu ni kipindi maarufu ambacho wale matajiri wa kubwa wa ulaya wanaopenda utalii hukifuatilia

Kwa hiyo laumuni vyombo vyenu vya habari kutotoa taarifa kiundani
 
Tanzania inashawishi nchi za Afrika watumie Kiswahili wakati hata swala la utalii tu mnatumia mambo ya kiajabu ajabu ...... nani ni Royal Tanzania? Wafalme na watemi tuliachana nao muda mrefu. Aibu kubwa sana hii kwa Tanzania Wenye macho hawaambiwi tazama.

Huzuni na simanzi.
Acha kudandia matreni kwa mbele
Royal tour ni kipindi cha utalii cha tivii cha huko ulaya
Ambapo wana familia wa familia za kifalme wanatembelea nchi za kitalii, sasa safari hii wamekuja tanzania
Ndio rais kajumuika nao kwenye kipindi chao
Kwasababu ni kipindi maarufu ambacho wale matajiri wa kubwa wa ulaya wanaopenda utalii hukifuatilia

Kwa hiyo laumuni vyombo vyenu vya habari kutotoa taarifa kiundani
 
Kwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii.
Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza,ni Taifa mfu,ni Taifa lililokufa,ni taifa jipya kabisa chini ya jua,na halina raslimali zozote na wala kitu chochote,sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii.
Na Kwanza hata Kama taifa halina chochote, siyo kazi ya Rais kutangaza utalii.
Zipo strategies za kutangaza utalii, Samatta ni maarufu Duniani kuliko Rais Samia.
Rais anapoenda Location kama msanii wa Bongo movie kutangaza utalii,huo mkosi mzito mno kwa taifa,watalii hawaji Tanzania eti kwa sababu Rais aliwatangazia.
Wanakuja kwa sababu usalama wao utakuwa mkubwa zaidi, huwezi kwenda kutalii kwenye Taifa ambalo kiongozi mkuu wa Chama kikubwa Cha Upinzani ni Gaidi, maana yake ni kwamba hata mawaziri nao ni magaidi.
Kenya inapokea maelfu ya watalii kwa mwaka kuliko Tanza,ni nani alimwona Rais wa Kenya akienda location kutangaza utalii?
Yaani Serikali nzima yenye wasomi wa kada zote haina strategies za kutangaza utalii hadi Rais aende location?
Mbona ni rahisi mno kutangaza utalii kuliko ilivyo rahisi kunywa maji?
Tanzania hii yenye vivutio vyote leo hata Rwanda wameanza kuwazidi kupokea watalii wengi kwa sababu ya strategies.
Rais ataenda Location zote,na mtatengeneza filamu zote na watalii hamtawaona kwa sababu hamna strategies.
Nyie strategies zenu ni kuua Upinzani tu haya mengine zero kabisa.
Mkuu kutokuja kwa watalii eti ni sababu ya gaidi la hasha kwanza huyo gaidi nani anamfahamu au ni kipi alichonacho zaidi cha kuwafanya watalii wasije Tanzania, kama kutokoja basi wasingekuja wakati Mbeligiji alipokimbia nchi kwenda kwa Amsterdam wake.
 
Kwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii.
Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza,ni Taifa mfu,ni Taifa lililokufa,ni taifa jipya kabisa chini ya jua,na halina raslimali zozote na wala kitu chochote,sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii.
Na Kwanza hata Kama taifa halina chochote, siyo kazi ya Rais kutangaza utalii.
Zipo strategies za kutangaza utalii, Samatta ni maarufu Duniani kuliko Rais Samia.
Rais anapoenda Location kama msanii wa Bongo movie kutangaza utalii,huo mkosi mzito mno kwa taifa,watalii hawaji Tanzania eti kwa sababu Rais aliwatangazia.
Wanakuja kwa sababu usalama wao utakuwa mkubwa zaidi, huwezi kwenda kutalii kwenye Taifa ambalo kiongozi mkuu wa Chama kikubwa Cha Upinzani ni Gaidi, maana yake ni kwamba hata mawaziri nao ni magaidi.
Kenya inapokea maelfu ya watalii kwa mwaka kuliko Tanza,ni nani alimwona Rais wa Kenya akienda location kutangaza utalii?
Yaani Serikali nzima yenye wasomi wa kada zote haina strategies za kutangaza utalii hadi Rais aende location?
Mbona ni rahisi mno kutangaza utalii kuliko ilivyo rahisi kunywa maji?
Tanzania hii yenye vivutio vyote leo hata Rwanda wameanza kuwazidi kupokea watalii wengi kwa sababu ya strategies.
Rais ataenda Location zote,na mtatengeneza filamu zote na watalii hamtawaona kwa sababu hamna strategies.
Nyie strategies zenu ni kuua Upinzani tu haya mengine zero kabisa.

Baada ya Kigwa na bongo movie, Kwamba mwenyewe kutimba kama bongo movie
 
Acha kudandia matreni kwa mbele
Royal tour ni kipindi cha utalii cha tivii cha huko ulaya
Ambapo wana familia wa familia za kifalme wanatembelea nchi za kitalii, sasa safari hii wamekuja tanzania
Ndio rais kajumuika nao kwenye kipindi chao
Kwasababu ni kipindi maarufu ambacho wale matajiri wa kubwa wa ulaya wanaopenda utalii hukifuatilia

Kwa hiyo laumuni vyombo vyenu vya habari kutotoa taarifa kiundani
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Utumbo mtupu kwenye swali gumu. Matajiri wa ulaya na familia zao hawahitaji kuambiwa mambo ya Tanzania, wewe ni mshamba wa wapi? Weka hiyo TV ambayo unaisema ni ya wapi? Unasema ni maarufu nchi gani weka fact wacha kuleta ngonjera.

Nyinyi ndio wale watoto wa watumwa mnafikiri kila mtu ni mtumwa.
 
Kwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii.
Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza,ni Taifa mfu,ni Taifa lililokufa,ni taifa jipya kabisa chini ya jua,na halina raslimali zozote na wala kitu chochote,sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii.
Na Kwanza hata Kama taifa halina chochote, siyo kazi ya Rais kutangaza utalii.
Zipo strategies za kutangaza utalii, Samatta ni maarufu Duniani kuliko Rais Samia.
Rais anapoenda Location kama msanii wa Bongo movie kutangaza utalii,huo mkosi mzito mno kwa taifa,watalii hawaji Tanzania eti kwa sababu Rais aliwatangazia.
Wanakuja kwa sababu usalama wao utakuwa mkubwa zaidi, huwezi kwenda kutalii kwenye Taifa ambalo kiongozi mkuu wa Chama kikubwa Cha Upinzani ni Gaidi, maana yake ni kwamba hata mawaziri nao ni magaidi.
Kenya inapokea maelfu ya watalii kwa mwaka kuliko Tanza,ni nani alimwona Rais wa Kenya akienda location kutangaza utalii?
Yaani Serikali nzima yenye wasomi wa kada zote haina strategies za kutangaza utalii hadi Rais aende location?
Mbona ni rahisi mno kutangaza utalii kuliko ilivyo rahisi kunywa maji?
Tanzania hii yenye vivutio vyote leo hata Rwanda wameanza kuwazidi kupokea watalii wengi kwa sababu ya strategies.
Rais ataenda Location zote,na mtatengeneza filamu zote na watalii hamtawaona kwa sababu hamna strategies.
Nyie strategies zenu ni kuua Upinzani tu haya mengine zero kabisa.

Tatizo la kukaa chini ya mtungi wa maji chanzo chako kikuu cha taarifa ni jf unaibuka na mapovu mengi yasiokua na kichwa wala miguu

Raisi Kagame wa Rwanda alifanya Tour de Rwanda alikua anatangaza nini pale? unakurupa na kusema katika utambulisho wa Mess kulikua na tangazo hilo la Visit Rwanda hivi kwa uchache wa akili unafikiri Kagame alifight kiasi gani kulifanikisha hilo? Wa Tz mnatia aibu kwa kukurupuka ndio maana tunaonekana na majirani zetu
we have a doom thinking capacity
 
Ujaona utofauti au mfanano kati ya Royal tour na anachofanya mama yetu?

Hebu tumia akili kidogo linganisha hizo tofauti watu wakuelewe sio unasema kiujmla tu. Labda huenda kuna uchache wa ufahamu kwako ukakuletea picha ya utofauti.
 
Kwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii.
Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza,ni Taifa mfu,ni Taifa lililokufa,ni taifa jipya kabisa chini ya jua,na halina raslimali zozote na wala kitu chochote,sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii.
Na Kwanza hata Kama taifa halina chochote, siyo kazi ya Rais kutangaza utalii.
Zipo strategies za kutangaza utalii, Samatta ni maarufu Duniani kuliko Rais Samia.
Rais anapoenda Location kama msanii wa Bongo movie kutangaza utalii,huo mkosi mzito mno kwa taifa,watalii hawaji Tanzania eti kwa sababu Rais aliwatangazia.
Wanakuja kwa sababu usalama wao utakuwa mkubwa zaidi, huwezi kwenda kutalii kwenye Taifa ambalo kiongozi mkuu wa Chama kikubwa Cha Upinzani ni Gaidi, maana yake ni kwamba hata mawaziri nao ni magaidi.
Kenya inapokea maelfu ya watalii kwa mwaka kuliko Tanza,ni nani alimwona Rais wa Kenya akienda location kutangaza utalii?
Yaani Serikali nzima yenye wasomi wa kada zote haina strategies za kutangaza utalii hadi Rais aende location?
Mbona ni rahisi mno kutangaza utalii kuliko ilivyo rahisi kunywa maji?
Tanzania hii yenye vivutio vyote leo hata Rwanda wameanza kuwazidi kupokea watalii wengi kwa sababu ya strategies.
Rais ataenda Location zote,na mtatengeneza filamu zote na watalii hamtawaona kwa sababu hamna strategies.
Nyie strategies zenu ni kuua Upinzani tu haya mengine zero kabisa.
Angefanya Biden mngesifia! Watanzania baadhi tunapenda kukosoa kila kitu. Ndiyo Rais wetu kaanzisha safari. Royal family ya British iliwahi kutangaza vivutio vya utalii vya nchi yao.

Anachokifanya Rais Samia akiwa ni mwanadiplomasia namba moja ni kuendelea kuionyesha dunia Tanzania ilivyo na utajiri na kuongeza uaminifu zaidi kwa watalii na wawekezaji#Tumuunge mkono Rais. Royal Tour.
 
Kwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii.
Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza,ni Taifa mfu,ni Taifa lililokufa,ni taifa jipya kabisa chini ya jua,na halina raslimali zozote na wala kitu chochote,sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii.
Na Kwanza hata Kama taifa halina chochote, siyo kazi ya Rais kutangaza utalii.
Zipo strategies za kutangaza utalii, Samatta ni maarufu Duniani kuliko Rais Samia.
Rais anapoenda Location kama msanii wa Bongo movie kutangaza utalii,huo mkosi mzito mno kwa taifa,watalii hawaji Tanzania eti kwa sababu Rais aliwatangazia.
Wanakuja kwa sababu usalama wao utakuwa mkubwa zaidi, huwezi kwenda kutalii kwenye Taifa ambalo kiongozi mkuu wa Chama kikubwa Cha Upinzani ni Gaidi, maana yake ni kwamba hata mawaziri nao ni magaidi.
Kenya inapokea maelfu ya watalii kwa mwaka kuliko Tanza,ni nani alimwona Rais wa Kenya akienda location kutangaza utalii?
Yaani Serikali nzima yenye wasomi wa kada zote haina strategies za kutangaza utalii hadi Rais aende location?
Mbona ni rahisi mno kutangaza utalii kuliko ilivyo rahisi kunywa maji?
Tanzania hii yenye vivutio vyote leo hata Rwanda wameanza kuwazidi kupokea watalii wengi kwa sababu ya strategies.
Rais ataenda Location zote,na mtatengeneza filamu zote na watalii hamtawaona kwa sababu hamna strategies.
Nyie strategies zenu ni kuua Upinzani tu haya mengine zero kabisa.
Muache chopra aiigize muzi kikubwa Ndugai yeye awe charanteja
 
Back
Top Bottom