Rais Duterte aagiza vikosi vya Marekani kuondoka

Rais Duterte aagiza vikosi vya Marekani kuondoka

Binafsi hata mimi ningefanya kama yeye mmarekani kalikoroga alinywe mwenyewe sasa
Shida ya marekani ni kuhakikisha Nchi ndogondogo haziendelei ili aendelee kuwa mbabe anachokifanya ni kuanzisha machafuko kila kona ya dunia.

Kwa mfano marekani ilihusika kwenye mapinduzi ya kijeshi yaliyoshindwa uturuki baada ya rais wa uturuki kuiomba msamaha urusi kila anachokifanya anataka awake viongozi wanaomwabudu kila eneo LA dunia hii.

Mm ninachokiona kwa rais wa ufilipino anahofia marekani kwani inaweza kumpindua pia kwa sababu ya misimamo yake na jeuri aliyonayo katika kuendesha Nchi yake anavyotaka
 
Duh! jamaa No! kujiamini kabisa,sasa ndo nini?, siku zote dawa ya tatizo ni kupambana nalo na sio kulimbia tatizo.
 
He take as mechanism defence, coz kitu anachokifanya kwa raia wake kipo kinyume na International Community! There is tremendous violation of Civil rights and Human rights at all. This is against good governance. That is why western zones trying to intervine philipin's soveregnity jst to help the civilians.
 
Raisi wa Ufilipino Rodrigo Duterte hivi majuzi alizua kizazaa kikubwa pale alipomtukana raisi wa USA Barack Obama kwa kumuita Obama ,,son of a bitch" jambo lililopelekea Raisi Obama kuahirisha kwa muda kukutana na raisi huyo lkn mwishowe Obama alikutana naye!

Sasa kama hilo halitoshi Raisi Duterte amesema Majeshi ya USA yalioko nchini Ufilipino (US Military base) yaondoke nchini humo, sasa hapa nafikiri raisi Duterte amekwenda mbali na muda siyo mrefu CIA watafanya kazi yake kama ilivyokuwa kwa Erdogan wa Uturuki na watamuondoa madarakani, aidha utasikia maandamano nchi nzima au kama hilo ni gumu basi baadhi ya Majenerali wa Jeshi la Ufilipino wataasi na kumuondoa!

======

U.S. forces advising the Philippine military against an Islamic insurgency are doing more harm than good and must leave, Philippine President Rodrigo Duterte said Monday.

Duterte, who made international headlines last week by crudely insulting President Obama, said white Westerners are an inviting target for kidnap-for-ransom groups such as the militant Abu Sayyaf in the southern Philippines. Duterte blamed his government's ties to the West — and a grisly U.S. military operation that targeted Muslims more than 100 years ago — for fueling much of the unrest centered in the Mindanao island group.

”I do not want a rift with America, but they have to go," Duterte, who is from the Mindanao region, said during a speech in Manila. "Americans, they (insurgents) will really kill them."

Duterte said he had planned to raise the issue last week when he and Obama attended the ASEAN Summit in Laos but did not do so "out of respect." He provided no timeline for a U.S. exit.

In Washington, the White House said it had not received a formal request to remove U.S. military personnel, spokesman Josh Earnest said. He added that Duterte had a tendency to make “colorful comments,” the Associated Press reported.


Duterte spokesman Ernesto Abella said the Philippine president's comments reflected the government's "new direction toward coursing an independent foreign policy."

Abella also pointed to lasting resentment over the U.S military campaign in 1906 that led to the slaughter of hundreds of Muslims in the southern Philippines. Duterte has criticized the United States for failing to apologize for the bloodbath.

"Hence our continued connection with the West is the real reason for the 'Islamic' threat in Mindanao,” Abella said in a statement issued through the Philippines News Agency .

The tough-talking Duterte has had a bumpy relationship with the U.S. since taking office in June. He drew sharp international criticism, including from the United Nations, for encouraging vigilante-style killings of drug dealers and criminals. Duterte shrugged off the controversy.

"Maybe we'll just have to decide to separate from the United Nations," Duterte said.

On Sept. 3, Duterte issued a warning before the summit began in Laos that Obama better not condemn his law-and-order policies, or “son of a bitch, I will swear at you in that forum."

Duterte later walked back the comment, saying he looked forward to "ironing out differences" between the two countries.

The Philippines was a U.S. colony from 1898 until the 1940s. The island group hosted permanent U.S. military bases until the Philippine government ordered them removed 25 years ago.

The U.S.has provided advisers some level of aid to fight Abu Sayyaf for more than a decade. Recently, the Philippine government has increased its own military effort to crush the militants.

”Those (U.S.) special forces, they have to go," Duterte said. "There are many white (people) there. They have to go."

Duterte wants U.S. troops out of southern Philippines
 
Basi huyo bwana atakuwa mentally unstable kwa sababu mikataba ya vikosi imehuhishwa mapema mwaka huu, nafikiri anataka kuendesha nchi kama jiko la nyumbani kwake, huyu kwa hakika ndiye dikiteta uchwara haswaa wengine wanasingiziwa buure!

Raisi wa Ufilipino Rodrigo Duterte hivi majuzi alizua kizazaa kikubwa pale alipomtukana raisi wa USA Barack Obama kwa kumuita Obama ,,son of a bitch" jambo lililopelekea Raisi Obama kuahirisha kwa muda kukutana na raisi huyo lkn mwishowe Obama alikutana naye!

Sasa kama hilo halitoshi Raisi Duterte amesema Majeshi ya USA yalioko nchini Ufilipino (US Military base) yaondoke nchini humo, sasa hapa nafikiri raisi Duterte amekwenda mbali na muda siyo mrefu CIA watafanya kazi yake kama ilivyokuwa kwa Erdogan wa Uturuki na watamuondoa madarakani, aidha utasikia maandamano nchi nzima au kama hilo ni gumu basi baadhi ya Majenerali wa Jeshi la Ufilipino wataasi na kumuondoa!

Duterte wants U.S. troops out of southern Philippines
 
Wamarekani ni wanafiki sana. Ukitizama sehemu zote kwenye hao wanaowaita magaidi wana mkono wao. Kwa mfano, wanajua fika ni wapi hawa Abu Sayyaf wanapotoa silaha na wanajua sehemu gani wanapopata mafunzo. Ila kwa kuendeleza unafiki wao wanajifanya wanatoa vifaa na mafunzo kwa jeshi la Philippines. Wamarekani wanataka kujenga uhalali wa kuwepo Mashariki ya Mbali ili wawe karibu na mahasimu wao.
Rais Duterte anayajua mengi katika hilo na amewaamuru waondoke, huo ni uamuzi mzuri wa kujiepusha na vita isiyokuwa na maana. Siku sio nyingi utasikia Serikali ya Duterte imekaa mezani na kongea na Abu Sayyaf ili kuumaliza mzozo usio na maana wala tija.
 
Basi huyo bwana atakuwa mentally unstable kwa sababu mikataba ya vikosi imehuhishwa mapema mwaka huu, nafikiri anataka kuendesha nchi kama jiko la nyumbani kwake, huyu kwa hakika ndiye dikiteta uchwara haswaa wengine wanasingiziwa buure!


Lakini pamoja na yote hayo uliyoyasema amefanya yale ambayo hakuna Kiongozi wa Ufilipino aliyewahi kuyafanya, kupunguza kama siyo kuondoa na kusafisha kabisa drug warlords ambao walikuwa wako juu ya Serikali ya ufilipino na lilikuwa tatizo kubwa huko Ufilipino, na Wananchi wa Ufilipino wanampenda sana na kumkubali kwa hilo na ndiyo maana analewa siafa kiasi anafikiri anaweza kusema au kufanya chochote lkn Wananchi watakuwa nyuma yake kwani amewaondolea/punguzia kero kubwa sana ya madawa ya kulevya huko Ufilipino!
Hivi majuzi alitishia kuiondoa nchi yake UN baada ya Umoja huo kujaribu kumkemea jinasi alivyokuwa andili ya ma drug warlords!
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Aangalie tu, wakija wahafidhina wa REPUBLICAN, wanakutwanga, hawana muda wa kujadili, ukiingia anga zao, unasababishiwa zengwe, UK anaunga mkono, NATO nk, hapo unajikuta uko peke yako. Au akiona aibu wanakuondoa kama Hugo Chavez
 
watampiga kwenye uchumi. watu wakikosa msosi litakuwa ndiyo anguko lake.
 
Hajiamini, kwasababu dunia ipo katika kipindi cha kuunganisha nguvu kupambana na magaidi yeye hataki kushiriki ili magaidi wasije wakamuelewa vibaya, Chukulia mfano wa Kenya wakitoa majeshi yao Somalia, Speed ya kuwindwa na Alshabab itashuka sana, unadhani ni kwanini Wakenya wameendelea kuwepo Somalia japo wakiondoka kuna unafuu kwao? Unajua kwamba Wamarekani wakiamua kutoa majeshi yao sehemu zote zenye vyanzo vya Magaidi Wamarekani watakua kwenye unafuu flani?
Acha porojo za BBC na CCN haoa bana. Hao magaidi huwa wanaanzishwa na nani? Kabla ya chokochoko kwa Bashar al Assad IS walikuwepo? Nani aliwapatia zana hao IS?

Kabla ya vita baridi vya kuivunjavunja SOVIET Osama alikuwa ni nani katika dunia hii?

Wenye akili zao wakina Duterte wameshajua kuwa wanachezwa shere
 
Anazid kuweweseka ukichokoza wakubwa hata kama wana maovu utapigwa tu mana hakuna namna
 
Maarekani ni taifa kubwa duniani kushindana nao ni vigumu sana.
Si rahisi kwa kitaifa kidogo kama ufilipino kushindana na Marekani labda uwe na roho kama ya sadam na msemeji wa serikali yake .
inawezekana asiweze lakini vipi kwa msimamo wake naadhi za nchi ndogo 40 zikamuunga mkono hilo taifa kubwa litakuwa na nguvu gani tena
 
inawezekana asiweze lakini vipi kwa msimamo wake naadhi za nchi ndogo 40 zikamuunga mkono hilo taifa kubwa litakuwa na nguvu gani tena
Nu nchi gani ndogo inayotaka kukosana na marekani kwa kuunga mkono matusi msimamo Wa nchi ndogo kama ufilipino ili wapate maslahi gani kwa ufilipino?
 
Back
Top Bottom