Rais Donald Trump na Elon Musk ndani ya Oval Office

Rais Donald Trump na Elon Musk ndani ya Oval Office

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,063
Reaction score
136,426
Dakika chache zilizopita, Rais Donald Trump kaongea na waandishi wa habari ofisini kwake katika hafla ya kumuaga Elon Musk, ambaye amenaliza muda wake kama ‘Special Government Employee’.

Kinyume na narrative ya baadhi ya watu kuwa Trump na Musk wamemwagana [whatever that means], Musk kamaliza muda wake uliowekwa kisheria kuhusu hiyo nafasi na leo kaagwa rasmi na kupewa ufunguo wa heshima kwa White House [an honorary key to the White House].

Hiyo ni heshima ambayo ni nadra sana kutolewa.

Mtu aliyefukuzwa anapewa ufunguo wa heshima 🤣.

Acheni uzushi.


View: https://youtu.be/KXzN8QFJmT4?si=iYfpzGpjLO3bKPQW
 
Kazi aliyopewa Bwana Elon Musk ameifanya na kuikamilisha na muda wa Mkataba wake umeisha.

Najua kutokana na umuhimu wake, huenda akapewa kazi nyingine hapo baadaye

Nasi Tanzania tungeweza, tungem-hire atusaidie kuongeza ufanisi Serikalini 😜
 
Dakika chache zilizopita, Rais Donald Trump kaongea na waandishi wa habari ofisini kwake katika hafla ya kumuaga Elon Musk, ambaye amenaliza muda wake kama ‘Special Government Employee’.

Kinyume na narrative ya baadhi ya watu kuwa Trump na Musk wamemwagana [whatever that means], Musk kamaliza muda wake uliowekwa kisheria kuhusu hiyo nafasi na leo kaagwa rasmi na kupewa ufunguo wa heshima kwa White House [an honorary key to the White House].

Hiyo ni heshima ambayo ni nadra sana kutolewa.

Mtu aliyefukuzwa anapewa ufunguo wa heshima 🤣.

Acheni uzushi.


View: https://youtu.be/KXzN8QFJmT4?si=iYfpzGpjLO3bKPQW

Chexew wawekezaji wewe, stake holders wa tesla almanusura wamtoe kwenye hiyo nafasi
 
Kazi aliyopewa Bwana Elon Musk ameifanya na kuikamilisha na muda wa Mkataba wake umeisha.

Najua kutokana na umuhimu wake, huenda akapewa kazi nyingine hapo baadaye

Nasi Tanzania tungeweza, tungem-hire atusaidie kuongeza ufanisi Serikalini 😜
Ufanisi wapi,kuchukua madini ya Ukraine na kuwatafutia walowezi wa South Africa makazi USA.
Ujinga mtupu.
 
Kazi aliyopewa Bwana Elon Musk ameifanya na kuikamilisha na muda wa Mkataba wake umeisha.

Najua kutokana na umuhimu wake, huenda akapewa kazi nyingine hapo baadaye

Nasi Tanzania tungeweza, tungem-hire atusaidie kuongeza ufanisi Serikalini 😜
Ubaya Tanzania hata apatikane mtu kama huyo lazima atapokea maelekezo

Hii nchi inalaana ya uongozi
 
Ajitoe sasa akazipambanie Tesla kuzirudisha zilipokuwa maana ameshaanza kupoteana kwenye soko la dunia hasa Ulaya baada ya kuingia kwenye siasa za kijinga za Mr TACO
 
Kazi aliyopewa Bwana Elon Musk ameifanya na kuikamilisha na muda wa Mkataba wake umeisha.

Najua kutokana na umuhimu wake, huenda akapewa kazi nyingine hapo baadaye

Nasi Tanzania tungeweza, tungem-hire atusaidie kuongeza ufanisi Serikalini 😜
Nyie uzeni bandari na ngorongoro, musk siyo wakunyea.
 
Nyie uzeni bandari na ngorongoro, musk siyo wakunyea.
Hahaha......... kwahiyo ndiyo kusema Samaki mmoja akioza wote wameoza 🙌

Japo sijapata hata shilingi 10 ya udalali, wameishia kupewa akina Zembwela na Mbunge Msukuma tu
 
Ubaya Tanzania hata apatikane mtu kama huyo lazima atapokea maelekezo

Hii nchi inalaana ya uongozi
Sio laana Mkuu

Ni tatizo la Viongozi kuendekeza ufisadi

Lakini ukipata Rais mbabe na mwenye hofu ya Mungu, wote wanaufyata na Nchi itapiga hatua
 
..... Juzu tuu leo keshamaliza muda na ametoka

Huku Africa kuna mdau ameshikilia ofisi tangu 1980's hadi leo na bado anataka aendelee kuajiriwa
 
Ufanisi wapi,kuchukua madini ya Ukraine na kuwatafutia walowezi wa South Africa makazi USA.
Ujinga mtupu.
Huoni Marekani ameonesha amepata Faida zaidi ya Bilioni kadhaa kutokana na ufanisi wa Elon Musk
 
Back
Top Bottom