EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,701
Jamaa anaanza kuona joto la jiwe baada ya kula bata kwa 30 ikulu
Mlinzi wake yupo wapi?, hiyo ni death penaltyJamaa anaanza kuona joto la jiwe baada ya kula bata kwa 30 ikuluView attachment 1075415


Mlinzi wake yupo wapi?, hiyo ni death penalty
Picha ya zamani akienda
Hija.

Picha ya zamani akienda
Hija.
Mwezi uliopita ungemtabiria utaenda jela wwe angekupiga risasi kuwa hizo ni ndoto.Yupo gereza lile lile alilowafungia wanaomkosoa.Yote hii ni Mungu anampa fundisho.Dunia inaendeshwa na nguvu ya misingi ukiikosea ni lzm ikuadhibu. Maisha ni upepo sio hesabu ,ukidhani una kinga jiulize mara Tatu Tatu.Hao hao wakulindao ndio watakulinda ukiwa mfungwa jela kwa matumizi mabaya ya Madaraka, matumizi mabaya ya fedha za umma,upotevu wa watu na wwe kimya ujachukua hatua siku zaja, hata ukiwa na mkongojo ni lzm uvune ulichopanda.Hela zake alizo jaza chumba kwa kuwaibia wananchi na kuzitumia kwa wasiojulikana zimeshindwa kumsaidia zimetaifishwa.ICC wanamtaka akajibu mauaji ya wasudan kusini kwa kuwafadhili janjaweed.Viongozi wa kiafrica huelewa wakiwa wamechelewa.Angesoma alama za nyakati angebaki Salama.
Angetimkia Uganda yasingemkuta haya
Aise binadamu angejua kitakachotokea baada ya sekunde moja ijayo angejipanga.