Rais aweza kuwa mwizi?

Ikulu kuna "vibaka na Panyaroads" isipokuwa tofauti ni kuwa "vibaka na panyaroads" wa Ikulu wanavaa suti By Godbless Lema
 
Rais mwizi,
Mke mwizi
Mtoto mwizi
Mjukuu mwizi (watakuwa wezi)

Waziri mkuu Mwizi,
Mawaziri wezi,
Naibu mawaziri wezi
Katibu mkuu mwizi
Naibu katibu mkuu mwizi

Maaskofu wezi.......................................

unategemea nini? Nchi nzima ni wezi labda asiye na nafasi ya kuiba!
Da! Aliyeturoga noma!
 
Mwenyeti wa mtaa hawezi kuwa mwizi kama watu halmashauri si wezi
Ma DED hawawezi kuwa wezi kama mawaziri si wezi
Waziri hawezi kuwa mwizi kama Rais si mwizi
Wizi/rushwa ya mtu wa juu inalea wizi kwa watu wa chini yake.
Ngazi ya wizi hushuka taratibu hadi ngazi chini kabisa.

Sawasawa=perfect comment.
 
Wananci wanayajua yote haya, alkini hawajui wafanye nini, maana hata ukisema uchaguzi ni yale yale.
 
Katiba ipo wazi wala hupaswi kuumiza roho yako mkuu ipitie majibu yote yapo bayana.
 
Katiba yetu ndio imetoa mwanya wezi kufanya watakavyo.Tuanze kupambana na wezi kwa kuikataa katiba yao,tuirejeshe rasimu ya mzee Warioba.
 
Waziri anapokuwa kuwa mwizi halafu akasema nyie siyo mliyonipa kazi aliyenipa kazi ndiye anayeweza kunifukuza hilo ni tusi kubwa sana kwa aliyempa kazi ni muajili mwizi tu ndiye anayeweza kufumbia macho kauli hiyo. hii sawa na mwanao aibe pesa halafu watu wamkemee halafu mtoto awaambie wanaomkemea ni baba yangu tu ndiye anaweza kunionya kwa wizi ni baba mwizi tu ndiye anayeweza kukaa kimya
 
Hili la IPTL TEGETA ESCROW A/C ndilo lililothibitisha kabisa pasipo hata chenga kwamba Jakaya Mrisho Kikwete ni Rais wa Tanzania wakati huohuo ni kiongozi wa genge la wezi chini ya mwavuli wake!!

Looh,hii ni balaa na aibu sana kwetu sisi sote kama watanzania kuwa na Rais mtanashati lakini kwa kificho akiwa anaongoza genge la wezi linalohujumu uchumi wa nchi na kuumiza wananchi wake mwenyewe anaodai anawaongoza!!

Mimi natamani huyu bwana mzee awe gerezani hata leo au afe tu kwa namna yoyote ile. Haya hayafanyi kwa bahati mbaya bali ni kwa makusudi kabisa....Hafai, hana maana.Ni afadhali ya Mkapa, Mwinyi na Nyerere JK!!
 
Kama unaona mbali...wacha katiba mbovu ipite...wananchi ambao wanapewa pilau na kupiga kura pasipo umakini
..watasulubiwa na watawala mpaka watafika mahali watajiuliza tumekosea wapi..kisha wakifanya mabadiliko ya katiba watayasimamia yatekelezwe.

Mpaka sasa wananchi bado hawana uelewa wa kutosha wa jinsi gani katiba inagusa maisha yao ya kila siku.

Elimu inapatikana kwa njia mbili nadharia na vitendo..kama hawasikii wacha wapigwe tu
 
Raisi wa nchi anapokuwa Mwizi. Swali zuri sana, na jibu lake ni kuwa Wezi katika nchi hiyo watakuwa ni watu wanaoheshimika na kuonekana mfano wa kuigwa.
 
Mwenyeti wa mtaa hawezi kuwa mwizi kama watu halmashauri si wezi
Ma DED hawawezi kuwa wezi kama mawaziri si wezi
Waziri hawezi kuwa mwizi kama Rais si mwizi
Wizi/rushwa ya mtu wa juu inalea wizi kwa watu wa chini yake.
Ngazi ya wizi hushuka taratibu hadi ngazi chini kabisa.

Well said
 
maoni hayo yanapelekea kule ambako sisi kina gogo la shamba tulishasema kwamba,mwisho wa kikwete na baadhi ya viongozi wa ccm hautakuwa tofauti na Gadafi au Sadam
 
Mkuu hiki ndicho watanzania wengi hawakioni. Utasikia wanawalamu polisi eti wanakula rushwa, eti Kova kasema uongo! Rais wa nchi na mawaziri wanapofanya haya inakuwa kama free ticket ya wadogo kufanya.

Jamani Kova! Mmenikumbusha mbali! Hivi yule Mkenya aliyemteka Dkt. Ulimboka na kukamtwa huko Dar es Salaam, yu wapi? Kesi yake ilsha isha? Alipatikana na hatia?
 
Sasa hili jukwaa linakuwa la kitoto,yan mtu ana acha kunyonyesha mtoto analia anakurupuka kuposti vitu vya kijinga hata asieenda shule anavijua.havina kichwa wala miguu!!!!

Ndugu, wewe unanufaika na wizi nini?? Hivyo vya kijinga ni vipi hivyo- huu uzi ni wakijinga? Au elimu waliokupatia hawa hawa wezi ndio inalikuelimisha? Na huyo mtoto wako wa kufikirika unajua kinachomliza ni nini?

Wengine wamekusaidia hapo chini tumia JF kujifunza sio kuleta mawazo mgando.


Raisi wa nchi anapokuwa Mwizi. Swali zuri sana, na jibu lake ni kuwa Wezi katika nchi hiyo watakuwa ni watu wanaoheshimika na kuonekana mfano wa kuigwa.
 
Wewe mleta mada naona kama vile unapigia jibu mstari halafu eti unataka jibu. Leo tuna Rais ambaye tangia aingie madarakani hajawahi kukemea wizi na ubadhirifu wa mali ya umma hadharani. Kama amewahi kufanya hivyo naomba anayejua atwambie hiyo ilifanyika lini.

Rais anakosa moral authority ya kukemea wizi na ufisadi, siri yake nini hapo? Naogopa kusema moja kwa moja kwani bado nazipenda kucha zangu!!!!!

Tiba
 
Waziri anapokuwa kuwa mwizi halafu akasema nyie siyo mliyonipa kazi aliyenipa kazi ndiye anayeweza kunifukuza hilo ni tusi kubwa sana kwa aliyempa kazi ni muajili mwizi tu ndiye anayeweza kufumbia macho kauli hiyo. hii sawa na mwanao aibe pesa halafu watu wamkemee halafu mtoto awaambie wanaomkemea ni baba yangu tu ndiye anaweza kunionya kwa wizi ni baba mwizi tu ndiye anayeweza kukaa kimya

mkuu umemaliza kuhus rais wetu mwizi namba moja ni yeye. nakubali ni kwa nini muhongo alisema nikijiuzulu ardhi ya tanzania itatikisika
 
Back
Top Bottom