Niambieni watanzania wenzangu maana inawezekana mkawa na ushahidi wa kutosha tangu JK hajaingia madarakani na hadi anaingia madarakani! kila kona sasa ni DOWANS! hata mtoto mdogo! ikiongezewa na majeraha ya nyuma kama vile RICHMOND, EPA/KAGODA, IMPORT SUPPORT COMMODITIES, MEREMETA, IPTL, RADA, na nyingine nyingi mnazozijua, inakifanya Chama Cha Mapinduzi Kionekane kama chama cha majambazi tena wenye roho mbaya ambao wakiwaingilia watawabaka, kulawiti na kuwaua na kuchukua kila kitu! Duh! mimi nimeogopa maana sasa watu wana hasira kwelikweli! Hebu niambieni, nipeni ushahidi wa kutosha huyu raisi wetu ni sehemu ya maovu haya niliyoyataja? lakini;
1. Mbona anaonekana mtu mwema?
2. Mbona anaonekana mpole na mwenye maadili?
3. Mbona anazungumza kwa upole na sauti nyororo?
4. Mbona hana makuu, watoto wake kusoma shule za kifisadi na majumba ya kifahari?
Mhh! jamani hasingiziwi??! Lakini;
1. Mbona Hazungumzii, DOWANS?
2.Mbona aliwapa muda EPAS kurudisha pesa baada ya kuwakamata mara moja na kuwafungulia mashitaka? na muda ulipofika alikaa kimya?
3. Mbona hazungumzii KAGODA na nyinginezo?
4.Mbona hawaongozi watanzania kuwapatia majibu kwa maswali magumu?
5. Mbona anapotezea mada kwa kuingiza topic ya udini baada ya uchaguzi wakati issues zilizopo ni wizi wa kura na DOWANS, EPA na nyinginezo?
Mhh! Jamani!!
1. Huyu JK si ndiye aliye kula kiapo cha kuilinda katiba ya nchi?! naambiwa pia alishika QUARAN?! Kwani humo kwenye quaran kunapindisha mambo?
NIPENI MAJIBU! USALAMA WA NCHI UPO MASHAKANI? CCM HAITASIMAMA KAMWE KAMA HAKUNA MAJIBU YA KINACHOULIZWA!
HAIWEZEKANI RAIS AKAONGOZA MAJAMBAZI KUIBIA NCHI! NAONA KAMA ANASINGIZIWA!!??
1. Mbona anaonekana mtu mwema?
2. Mbona anaonekana mpole na mwenye maadili?
3. Mbona anazungumza kwa upole na sauti nyororo?
4. Mbona hana makuu, watoto wake kusoma shule za kifisadi na majumba ya kifahari?
Mhh! jamani hasingiziwi??! Lakini;
1. Mbona Hazungumzii, DOWANS?
2.Mbona aliwapa muda EPAS kurudisha pesa baada ya kuwakamata mara moja na kuwafungulia mashitaka? na muda ulipofika alikaa kimya?
3. Mbona hazungumzii KAGODA na nyinginezo?
4.Mbona hawaongozi watanzania kuwapatia majibu kwa maswali magumu?
5. Mbona anapotezea mada kwa kuingiza topic ya udini baada ya uchaguzi wakati issues zilizopo ni wizi wa kura na DOWANS, EPA na nyinginezo?
Mhh! Jamani!!
1. Huyu JK si ndiye aliye kula kiapo cha kuilinda katiba ya nchi?! naambiwa pia alishika QUARAN?! Kwani humo kwenye quaran kunapindisha mambo?
NIPENI MAJIBU! USALAMA WA NCHI UPO MASHAKANI? CCM HAITASIMAMA KAMWE KAMA HAKUNA MAJIBU YA KINACHOULIZWA!
HAIWEZEKANI RAIS AKAONGOZA MAJAMBAZI KUIBIA NCHI! NAONA KAMA ANASINGIZIWA!!??