Sky Eclat JF-Expert Member Oct 17, 2012 57,598 215,322 Dec 9, 2018 #1 Rais awaasa wachezaji Attachments 963AF2B7-9C9B-49E5-893B-11003C450438.MP4 1.3 MB · Views: 43 475A013F-56D1-4A4E-9EBF-58A7C7FC6A21.MP4 1.3 MB · Views: 20
Mchumia Rungu JF-Expert Member Apr 26, 2013 1,434 821 Dec 9, 2018 #2 Hapo hajawaasa bali amewaambia uzoefu wake enzi zake. Hao wachezaji wanaye kocha. Rais akifanya ya kocha, kocha atakuwa analipwa kwa lipi? Rais afanye yake kama rais. Awasikilize watu anaowaongoza badala ya kuwa kama alivyo. Sipendi.
Hapo hajawaasa bali amewaambia uzoefu wake enzi zake. Hao wachezaji wanaye kocha. Rais akifanya ya kocha, kocha atakuwa analipwa kwa lipi? Rais afanye yake kama rais. Awasikilize watu anaowaongoza badala ya kuwa kama alivyo. Sipendi.
Omary Ndama JF-Expert Member Apr 16, 2017 3,367 4,056 Dec 9, 2018 #3 Anaawasa Nini wakati yake tu yanamshinda, inchi imekuwa Kama tuko Afghanistan.....
Basi Nenda JF-Expert Member Jul 29, 2017 20,197 45,942 Dec 9, 2018 #4 Omary Ndama said: Anaawasa Nini wakati yake tu yanamshinda, inchi imekuwa Kama tuko Afghanistan..... Click to expand... Jooo kate
Omary Ndama said: Anaawasa Nini wakati yake tu yanamshinda, inchi imekuwa Kama tuko Afghanistan..... Click to expand... Jooo kate