Rais asiye na makuu?

Rais asiye na makuu?

Mwenye chuki na husuda hana sababu, hata umfanyie jema chuki yake iko pale pale.
 
Tuko pamoja kama nje alipaki boxer 150 au alipigania daladala kama kaja na ile mi-benz yake tena inawezekana kutoka magogoni mpaka muhimbili kajiandikia posho basi ni yuleyule.
 
Aa wapi, umeona hilo benchi la nyuma?

Bwana asipoulinda mji waulindao wakesha bure@@@@:argue::argue::argue::argue::argue::argue::argue::typing::typing::typing::typing::typing:
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni Mkuu kwa hili anajitahidi sana
 
Juzi kahudhuria misiba miwili kwa Siku moja, ule wa Luteni wa jeshi na Mzee Small ikabidi nijiulize, ina maana Huyu jamaa hakua hata na appointment mojA Siku hio?
 
Juzi kahudhuria misiba miwili kwa Siku moja, ule wa Luteni wa jeshi na Mzee Small ikabidi nijiulize, ina maana Huyu jamaa hakua hata na appointment mojA Siku hio?

maswali yalikua mengi sana
 
naona mashushushu yalivyotuna nguo zao hapo
 
Et hana makuu! huh!,na rais wa Uruguay utasemaje wewe kubwajinga?
Aliyemtesa Dr ni Ramadhan Ighondu.
 
Juzi kahudhuria misiba miwili kwa Siku moja, ule wa Luteni wa jeshi na Mzee Small ikabidi nijiulize, ina maana Huyu jamaa hakua hata na appointment mojA Siku hio?

Mtu wa watu huyo Mh.Kikwete, mwacheni!! Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Akiwa na appointment nje ya nchi, MWAMSEMA, 'asipokuwa' na appointment, MWAMSEMA.
Kikwete JEMBE.
 
Hii Nimeipenda sana wadau
View attachment 163413

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakijumuika na waombolezaji wengine katika Kanisa la Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Ernesti B. Ngereza, aliyekuwa mfanyakazi wa Ikulu aliyefariki dunia Mei 5, 2014, kabla ya mwili huo kusafirishwa kwenda nyumbani kwa marehemu Lushoto, Mkoani Tanga Ijumaa Mei 6, 2014.


Kujibu swali lako: Kikwete ni Rais mwenye makuu.
 
Back
Top Bottom