Gwangambo
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 3,637
- 1,208
Uketile malafyale, bhikuhomba imbimbhi syabho, Ulipo kikolo? Utwa masiku?Ndo haohao,mie nilidhani wao hawafi, ghileke ghifweghe.
Uketile malafyale, bhikuhomba imbimbhi syabho, Ulipo kikolo? Utwa masiku?Ndo haohao,mie nilidhani wao hawafi, ghileke ghifweghe.
Huko lazima aende, si msanii mwenzake.mwambie aende na tabata kwenye msiba wa mzee small
mwambie aende na tabata kwenye msiba wa mzee small
nimekua makini kuweka kwenye mfumo wa swali
Eti rais asie na makuu??? Kweli???
usiogopeJakaya Kikwete Mtu wa maana sana.
Wewe Kama hajakuvua sijui ,hivi alikuta bei ya sukari bei gani,hivi alikuta bei ya unga shilingi ngapi,hivi alikuta wanaotumia mafuta ya taa Kama nishati hawana uwezo wa umeme bei ya mafuta taa ilikuwa bei gani, deni la taifa kipindi mheshimiwa mkapa anampa Nchi lilikuwa likoje, unavyo post vitu juwa kunamamilioni ya watanzania wanahasira hata ya kula Mtu ,unaupungufu wa akili ,ingekuwa dam tungekuchangia ,
Wewe Kama hajakuvua sijui ,hivi alikuta bei ya sukari bei gani,hivi alikuta bei ya unga shilingi ngapi,hivi alikuta wanaotumia mafuta ya taa Kama nishati hawana uwezo wa umeme bei ya mafuta taa ilikuwa bei gani, deni la taifa kipindi mheshimiwa mkapa anampa Nchi lilikuwa likoje, unavyo post vitu juwa kunamamilioni ya watanzania wanahasira hata ya kula Mtu ,unaupungufu wa akili ,ingekuwa dam tungekuchangia ,
Ndo haohao,mie nilidhani wao hawafi, ghileke ghifweghe.
kwa hili la kuhudhuria masiba raisi wangu hana mpinzani.anastahili pongezi.