Hapo zitakuwa story zilezile za "pengo lake halitazibika"Hizi ni hofu au ndio protocal mpya? Tulishuhudia awamu ya mwendazake msafara wake ukiwa na Anti-ballistic missile sasa awamu hii naona Mama anazunguka na kiti chake haamini viti vya ugenini?
View attachment 2631725
Huyo ni Rais, uliposema nilijua ametoka na kiti ikulu dar anazunguka nacho ikulu nyingine.
Hiyo ndio position ya juu ktk nchi lzm ipewe heshima yake.
Kuna mwengine atasema kwanini rais hapandi daladala ana panda gari yake tu
Huyu mama anajikweza sana
Kawaida mkuu! Yule wa Marekani akiwa ziarani hata gari ya kupigia misele inatoka kwao!!
Mi nahisi kaona masofa ya malecela hayana hadhi,yamekaa kigogo flan hivi 🤣🤣🤣
Vp kwani unataka na wewe uwe unakikakia! Wewe Zoom nenda kwa fundi Seremala atakujengea chako!Hizi ni hofu au ndio protocal mpya? Tulishuhudia awamu ya mwendazake msafara wake ukiwa na Anti-ballistic missile sasa awamu hii naona Mama anazunguka na kiti chake haamini viti vya ugenini?
View attachment 2631725
Kwenye kiti unakaa pia kwenye gari unakaa! Au wewe kwenye gari huwa unachuchumaa!Gari ni sawa ila kiti?
Kuna vitu ana uwezo wa kuvikataa. Ajifunze kwa Kikwete.. very humble guyCo yeye kuna watu wewe na mm wanalipwa kwa kazi hiyo tu. Kwani hata ratiba anapanga yye? Mbona huulizi kwamba hata mke/ mumewe halali nae kila siku mpaka asubuhi kama wewe ufanyavyo???
eh walislamu tena! na wale wanaopeleka kiti kanisani inakuwaje?Waislam ndivyo walivyo.
Akikalia cha kawaida uraisi inaisha?Hiko ni lazima akibebe tu, ni kama vile mkatoliki na lozari kila anapokwenda iko shingoni
Uingereza hatukumuona nacho!kiti chake
Unamuone bure, au humpendi tu. Huu utamaduni umetumika kwa JK, JPM na sasa Samia. Wala hawajiamulii, ni protocol ya ulinzi na usalama wa rais.Huyu mama anajikweza sana