Rais anapotembelea ofisi mbalimbali

Rais anapotembelea ofisi mbalimbali

Joined
Sep 4, 2016
Posts
44
Reaction score
28
Nimeona mara mbili sasa inajirudia, Rais anapotembelea ofisi (mfano airport, na pale bandarini) anapouliza maswali na kubaini makosa watu waliowekwa pale huanza kujitetea, nakutaka kumfundisha rais (kumlecture).

Mimi kwa maoni yangu sio jambo zuri kwa wewe mtumishi kuanza kubishana na rais, hii sio adabu kabisa. Lazima ujue unaongea na mkubwa anapokuambia kuna tatizo sehemu fulani we kili tu huwezi kufa, kwani ukikili harafu ukajirekebisha kunatatizo gani?.

Pia watu lazima wajue Rais wetu Magufuli ana PhD sio ya kupewa, kasomea hivyo siyo rahisi kwa mtu mwenye PhD kudanganywa kijinga kijinga, kama walizoea kudanganya wabadilike.

Mtu anayetuongoza ni msomi sio rahisi kumdanganya. Mfano pale bandarini anakueleza kwamba kwanini mtu aki feed information kule wewe huoni unapokuwa ofisini, oo eti, eti eti. Kwanini usiseme tu kwamba nimekosea na nitajirekebisha au tutajirekebisha.

Mimi wakati nasoma MSc nilikuwa nambishia Prof wangu juu ya topic fulani akaniambia don't lecture me, baadae nikajifunza unapomsikiliza Prof unajua mengi ambayo ulikuwa hujui kuliko kuanza kujifanya na wewe much know.

Nilipokuwa nafanya PhD niliendelea kumsikiliza Prof bila kumbishia ila tu nilikuwa natoa maoni kwanini isiwe hivi, na Prof alikuwa anajibu na kuonyesha njia.

Nawaomba watanzania wenzangu wajue Dr. Magufuli sio Dr wa kuchoma sindano, au Dr wa kupewa, ni PhD holder. Huwezi ukamyumbisha kijinga kijinga.

Ujue watu kama hawa waliosoma hawayumbishwi kijinga, huwa hawatetemeshwi na nyau.

Angalia hata Prof Muhongo, huwezi ukamshake kwa maneno yako yasiokuwa na kichwa au miguu. Hata wazungu wanajua kwamba tunaenda kuonana na mtu msomi sio yes man.

Zamani akija mzungu tu wizarani, utasikia waziri, ee tujiandae kwa mapokezi maalumu. Hayo yamepitwa na wakati kwa serikali yenye wasomi kama ya JPM.

Watu walikuwa wanakuja na begi tu eti anataka kuwekeza na walikuwa wanakubaliwa ila angalia sasa hivi hawaji, wameshasoma upepo.

Sasa watanzania tubadilike, Rais akija kwako akibaini kuna makosa, kubali halafu badilika, sio kujitetea. Hii inatuonyesha hufai maana hujui unacho kifanya.

Muungwana anakubali na anabadilika.
 
Jamani nimeona mara mbili sasa inajiludia, Raisi anapo tembelea ofisi (mfano airport, na pale bandarini) anapouliza maswali na kubaini makosa watu waliowekwa pale huanza kujitetea, nakutaka kumfundisha raisi (kumlecture). Mi kwa maoni yangu sio jambo zuri kwa wewe mtumishi kuanza kubishana na raisi, hii sio adabu kabisa. Lazima ujue unaongea na mkubwa anapokuambia kuna tatizo sehemu fulani we kili tu huwezi kufa, kwani ukikili harafu ukajilekebisha kunatatizo gani?. Pia watu lazima wajue Raisi wetu Magufuli ana PhD sio ya kupewa, kasomea hivyo siyo lahisi kwa mtu mwenye PhD kudanganywa kijinga kijinga, kama walizoea kudanganya wabadilike. Mtu anae tuongoza ni msomi sio rahisi kumdanganya. Mfano pale bandarini anakueleza kwamba kwa nini mtu aki feed information kule wewe huoni unapokuwa ofisini, oo eti, eti eti. Kwa nini usiseme tu kwamba nimekosea na nitajilekebisha au tutajilekebisha. Mimi wakati nasoma MSc nilikuwa nambishia Prof wangu juu ya topic fulani akaniambia dont lecture me, baadae nikajifunza unapomsikiliza Prof unajua mengi ambayo ulikuwa hujui kuliko kuanza kujifanya na wewe much know. Nilipo kuwa nafanya PhD niliendelea kumsikiliza Prof bila kumbishia ila tu nilikuwa natoa maoni kwa nini isiwe hivi, na Prof alikuwa anajibu na kuonyesha njia. Nawaomba watanzania wenzangu wajue Dr. Magufuli sio Dr wa kuchoma sindano, au Dr wa kupewa, ni PhD holder. Huwezi ukamyumbisha kijinga kijinga. Ujue watu kama hawa walio soma hawayumbishwi kijinga, huwa hawatetemeshwi na nyau. Angalia hata Prof Muhongo, huwezi uka mshake kwa maneno yako yasio kuwa na kichwa au miguu. Hata wazungu wanajua kwamba tunaenda kuonana na mtu msomi sio yes man. Zamani akija mzungu tu wizarani, utasikia waziri, ee tujiandae kwa mapokezi maalumu. Hayo yamepitwa na wakati kwa selekali yenye wasomi kama ya JPM. Watu walikuwa wanakuja na begi tu eti anataka kuwekeza na walikuwa wanakubaliwa ila angalia sasa hivi hawaji, wameshasoma upepo. Sasa watanzania tubadilike. Raisi akija kwako akibaini kuna makosa, kubali halafu badilika, sio kujitetea. Hii inatuonyesha hufai maana hujui unacho kifanya. Mgwana anakubali na anabadilika
KWA HIYO ANAPOULIZA ASIELEWESHWE,KILA MTU ANAKITENGO CHAKE SASA WEWE MGENI LAZIMA UMSIKILIZE MWENYEJI NA PIA UUMPE NAFASI AKUELIMISHE
 
Ni vyema Mh rais Magufuli aendelee na hizi ziara za kushtukiza kwa kipindi chote cha miaka mi5 ili watumishi wazembe wasipate fursa ya kubweteka makazini. Pia ziara za kushtukiza za Waziri mkuu na Mawaziri wake ziendelee kama mwanzo sababu kuna sehemu bado hazijafikiwa na malalamiko ya changamoto za wananchi ni nyingi.
 
Jamani nimeona mara mbili sasa inajiludia, Raisi anapo tembelea ofisi (mfano airport, na pale bandarini) anapouliza maswali na kubaini makosa watu waliowekwa pale huanza kujitetea, nakutaka kumfundisha raisi (kumlecture). Mi kwa maoni yangu sio jambo zuri kwa wewe mtumishi kuanza kubishana na raisi, hii sio adabu kabisa. Lazima ujue unaongea na mkubwa anapokuambia kuna tatizo sehemu fulani we kili tu huwezi kufa, kwani ukikili harafu ukajilekebisha kunatatizo gani?. Pia watu lazima wajue Raisi wetu Magufuli ana PhD sio ya kupewa, kasomea hivyo siyo lahisi kwa mtu mwenye PhD kudanganywa kijinga kijinga, kama walizoea kudanganya wabadilike. Mtu anae tuongoza ni msomi sio rahisi kumdanganya. Mfano pale bandarini anakueleza kwamba kwa nini mtu aki feed information kule wewe huoni unapokuwa ofisini, oo eti, eti eti. Kwa nini usiseme tu kwamba nimekosea na nitajilekebisha au tutajilekebisha. Mimi wakati nasoma MSc nilikuwa nambishia Prof wangu juu ya topic fulani akaniambia dont lecture me, baadae nikajifunza unapomsikiliza Prof unajua mengi ambayo ulikuwa hujui kuliko kuanza kujifanya na wewe much know. Nilipo kuwa nafanya PhD niliendelea kumsikiliza Prof bila kumbishia ila tu nilikuwa natoa maoni kwa nini isiwe hivi, na Prof alikuwa anajibu na kuonyesha njia. Nawaomba watanzania wenzangu wajue Dr. Magufuli sio Dr wa kuchoma sindano, au Dr wa kupewa, ni PhD holder. Huwezi ukamyumbisha kijinga kijinga. Ujue watu kama hawa walio soma hawayumbishwi kijinga, huwa hawatetemeshwi na nyau. Angalia hata Prof Muhongo, huwezi uka mshake kwa maneno yako yasio kuwa na kichwa au miguu. Hata wazungu wanajua kwamba tunaenda kuonana na mtu msomi sio yes man. Zamani akija mzungu tu wizarani, utasikia waziri, ee tujiandae kwa mapokezi maalumu. Hayo yamepitwa na wakati kwa selekali yenye wasomi kama ya JPM. Watu walikuwa wanakuja na begi tu eti anataka kuwekeza na walikuwa wanakubaliwa ila angalia sasa hivi hawaji, wameshasoma upepo. Sasa watanzania tubadilike. Raisi akija kwako akibaini kuna makosa, kubali halafu badilika, sio kujitetea. Hii inatuonyesha hufai maana hujui unacho kifanya. Mgwana anakubali na anabadilika
Kama kuna ukweli lazima rais aelezwe ukweli unless mtu akiwa anadanganya hapo ni kosa
 
Wasomi wenye PHD ndio hao wakina profesa Lipumba wanaolala ofisini ? Hao wasomi wameisaidia nini nchi hii zaidi ya kujali matumbo yao tu Tanzania mwenye PHD na alieishia darasa la saba hawana tofauti
 
Jamani nimeona mara mbili sasa inajiludia, Raisi anapo tembelea ofisi (mfano airport, na pale bandarini) anapouliza maswali na kubaini makosa watu waliowekwa pale huanza kujitetea, nakutaka kumfundisha raisi (kumlecture). Mi kwa maoni yangu sio jambo zuri kwa wewe mtumishi kuanza kubishana na raisi, hii sio adabu kabisa. Lazima ujue unaongea na mkubwa anapokuambia kuna tatizo sehemu fulani we kili tu huwezi kufa, kwani ukikili harafu ukajilekebisha kunatatizo gani?. Pia watu lazima wajue Raisi wetu Magufuli ana PhD sio ya kupewa, kasomea hivyo siyo lahisi kwa mtu mwenye PhD kudanganywa kijinga kijinga, kama walizoea kudanganya wabadilike. Mtu anae tuongoza ni msomi sio rahisi kumdanganya. Mfano pale bandarini anakueleza kwamba kwa nini mtu aki feed information kule wewe huoni unapokuwa ofisini, oo eti, eti eti. Kwa nini usiseme tu kwamba nimekosea na nitajilekebisha au tutajilekebisha. Mimi wakati nasoma MSc nilikuwa nambishia Prof wangu juu ya topic fulani akaniambia dont lecture me, baadae nikajifunza unapomsikiliza Prof unajua mengi ambayo ulikuwa hujui kuliko kuanza kujifanya na wewe much know. Nilipo kuwa nafanya PhD niliendelea kumsikiliza Prof bila kumbishia ila tu nilikuwa natoa maoni kwa nini isiwe hivi, na Prof alikuwa anajibu na kuonyesha njia. Nawaomba watanzania wenzangu wajue Dr. Magufuli sio Dr wa kuchoma sindano, au Dr wa kupewa, ni PhD holder. Huwezi ukamyumbisha kijinga kijinga. Ujue watu kama hawa walio soma hawayumbishwi kijinga, huwa hawatetemeshwi na nyau. Angalia hata Prof Muhongo, huwezi uka mshake kwa maneno yako yasio kuwa na kichwa au miguu. Hata wazungu wanajua kwamba tunaenda kuonana na mtu msomi sio yes man. Zamani akija mzungu tu wizarani, utasikia waziri, ee tujiandae kwa mapokezi maalumu. Hayo yamepitwa na wakati kwa selekali yenye wasomi kama ya JPM. Watu walikuwa wanakuja na begi tu eti anataka kuwekeza na walikuwa wanakubaliwa ila angalia sasa hivi hawaji, wameshasoma upepo. Sasa watanzania tubadilike. Raisi akija kwako akibaini kuna makosa, kubali halafu badilika, sio kujitetea. Hii inatuonyesha hufai maana hujui unacho kifanya. Mgwana anakubali na anabadilika

Inajiludia = inajirudia

Kili = kiri

Ndugu msomi wa PhD kama hujui kuandika mimi nawashawishi vipi wanafunzi wangu wa darasa la nne waandike vizuri?
 
Jamani nimeona mara mbili sasa inajiludia, Raisi anapo tembelea ofisi (mfano airport, na pale bandarini) anapouliza maswali na kubaini makosa watu waliowekwa pale huanza kujitetea, nakutaka kumfundisha raisi (kumlecture).

Mi kwa maoni yangu sio jambo zuri kwa wewe mtumishi kuanza kubishana na raisi, hii sio adabu kabisa. Lazima ujue unaongea na mkubwa anapokuambia kuna tatizo sehemu fulani we kili tu huwezi kufa, kwani ukikili harafu ukajilekebisha kunatatizo gani?.

Pia watu lazima wajue Raisi wetu Magufuli ana PhD sio ya kupewa, kasomea hivyo siyo lahisi kwa mtu mwenye PhD kudanganywa kijinga kijinga, kama walizoea kudanganya wabadilike.

Mtu anae tuongoza ni msomi sio rahisi kumdanganya. Mfano pale bandarini anakueleza kwamba kwa nini mtu aki feed information kule wewe huoni unapokuwa ofisini, oo eti, eti eti. Kwa nini usiseme tu kwamba nimekosea na nitajilekebisha au tutajilekebisha.

Mimi wakati nasoma MSc nilikuwa nambishia Prof wangu juu ya topic fulani akaniambia dont lecture me, baadae nikajifunza unapomsikiliza Prof unajua mengi ambayo ulikuwa hujui kuliko kuanza kujifanya na wewe much know.

Nilipo kuwa nafanya PhD niliendelea kumsikiliza Prof bila kumbishia ila tu nilikuwa natoa maoni kwa nini isiwe hivi, na Prof alikuwa anajibu na kuonyesha njia. Nawaomba watanzania wenzangu wajue Dr. Magufuli sio Dr wa kuchoma sindano, au Dr wa kupewa, ni PhD holder.

Huwezi ukamyumbisha kijinga kijinga. Ujue watu kama hawa walio soma hawayumbishwi kijinga, huwa hawatetemeshwi na nyau. Angalia hata Prof Muhongo, huwezi uka mshake kwa maneno yako yasio kuwa na kichwa au miguu.

Hata wazungu wanajua kwamba tunaenda kuonana na mtu msomi sio yes man. Zamani akija mzungu tu wizarani, utasikia waziri, ee tujiandae kwa mapokezi maalumu. Hayo yamepitwa na wakati kwa selekali yenye wasomi kama ya JPM.

Watu walikuwa wanakuja na begi tu eti anataka kuwekeza na walikuwa wanakubaliwa ila angalia sasa hivi hawaji, wameshasoma upepo. Sasa watanzania tubadilike. Raisi akija kwako akibaini kuna makosa, kubali halafu badilika, sio kujitetea. Hii inatuonyesha hufai maana hujui unacho kifanya. Mgwana anakubali na anabadilika
Duuuu na wewe una elimu gani? Kuwa na PhD ndo kujua kila kitu? Muungwana....
 
Wasomi wenye PHD ndio hao wakina profesa Lipumba wanaolala ofisini ? Hao wasomi wameisaidia nini nchi hii zaidi ya kujali matumbo yao tu Tanzania mwenye PHD na alieishia darasa la saba hawana tofauti
Bonge la wild beast kazini
 
Wasomi wenye PHD ndio hao wakina profesa Lipumba wanaolala ofisini ? Hao wasomi wameisaidia nini nchi hii zaidi ya kujali matumbo yao tu Tanzania mwenye PHD na alieishia darasa la saba hawana tofauti
Tofauti ipo mkuu
 
kawaida akija mgeni kwanza husomewa taarifa ya alipoenda,sasa mgeni hataki taarifa ya eneo ambalo yeye si mtaalamu lakini analazimisha kwamba anajua
Hizo taarifa someaneni ufipa huko huko.

Na siku hizi DJ ndio amegeuza ndio njia ya kura ruzuku ya chama ,kila Mara anawasomea wild beast matokeo ya ziara za uzururaji ulaya.
 
Umesahau kuweka namba ya simu ili wasikusahau kujaza nafasi za watakaotumbuliwa
 
Nimeona mara mbili sasa inajirudia, Rais anapotembelea ofisi (mfano airport, na pale bandarini) anapouliza maswali na kubaini makosa watu waliowekwa pale huanza kujitetea, nakutaka kumfundisha rais (kumlecture).

Mimi kwa maoni yangu sio jambo zuri kwa wewe mtumishi kuanza kubishana na rais, hii sio adabu kabisa. Lazima ujue unaongea na mkubwa anapokuambia kuna tatizo sehemu fulani we kili tu huwezi kufa, kwani ukikili harafu ukajirekebisha kunatatizo gani?.

Pia watu lazima wajue Rais wetu Magufuli ana PhD sio ya kupewa, kasomea hivyo siyo rahisi kwa mtu mwenye PhD kudanganywa kijinga kijinga, kama walizoea kudanganya wabadilike.

Mtu anayetuongoza ni msomi sio rahisi kumdanganya. Mfano pale bandarini anakueleza kwamba kwanini mtu aki feed information kule wewe huoni unapokuwa ofisini, oo eti, eti eti. Kwanini usiseme tu kwamba nimekosea na nitajirekebisha au tutajirekebisha.

Mimi wakati nasoma MSc nilikuwa nambishia Prof wangu juu ya topic fulani akaniambia don't lecture me, baadae nikajifunza unapomsikiliza Prof unajua mengi ambayo ulikuwa hujui kuliko kuanza kujifanya na wewe much know.

Nilipokuwa nafanya PhD niliendelea kumsikiliza Prof bila kumbishia ila tu nilikuwa natoa maoni kwanini isiwe hivi, na Prof alikuwa anajibu na kuonyesha njia.

Nawaomba watanzania wenzangu wajue Dr. Magufuli sio Dr wa kuchoma sindano, au Dr wa kupewa, ni PhD holder. Huwezi ukamyumbisha kijinga kijinga.

Ujue watu kama hawa waliosoma hawayumbishwi kijinga, huwa hawatetemeshwi na nyau.

Angalia hata Prof Muhongo, huwezi ukamshake kwa maneno yako yasiokuwa na kichwa au miguu. Hata wazungu wanajua kwamba tunaenda kuonana na mtu msomi sio yes man.

Zamani akija mzungu tu wizarani, utasikia waziri, ee tujiandae kwa mapokezi maalumu. Hayo yamepitwa na wakati kwa serikali yenye wasomi kama ya JPM.

Watu walikuwa wanakuja na begi tu eti anataka kuwekeza na walikuwa wanakubaliwa ila angalia sasa hivi hawaji, wameshasoma upepo.

Sasa watanzania tubadilike, Rais akija kwako akibaini kuna makosa, kubali halafu badilika, sio kujitetea. Hii inatuonyesha hufai maana hujui unacho kifanya.

Muungwana anakubali na anabadilika.
Na wewe ni mshamba sana what is PHD... Shame on nafikiri umesoma tiu bila kuelewa uneaanza vizuri lakini hapo kwa sindano na ya kupewa hapo ndiyo upeo wako umepotea kabisa
 
KWA HIYO ANAPOULIZA ASIELEWESHWE,KILA MTU ANAKITENGO CHAKE SASA WEWE MGENI LAZIMA UMSIKILIZE MWENYEJI NA PIA UUMPE NAFASI AKUELIMISHE
Wezi tu,magufuli humdanganyi anashtukiza,anajua kinachofanyika.sasa jamani mishahara haitoshi na marupurupu mpaka uibe??enh wabongo?
 
Ndivyo tulivyo watanzania
Ukiona anaongea/anajitetea sana basi ujue kuna jambo
 
Nimeona mara mbili sasa inajirudia, Rais anapotembelea ofisi (mfano airport, na pale bandarini) anapouliza maswali na kubaini makosa watu waliowekwa pale huanza kujitetea, nakutaka kumfundisha rais (kumlecture).

Mimi kwa maoni yangu sio jambo zuri kwa wewe mtumishi kuanza kubishana na rais, hii sio adabu kabisa. Lazima ujue unaongea na mkubwa anapokuambia kuna tatizo sehemu fulani we kili tu huwezi kufa, kwani ukikili harafu ukajirekebisha kunatatizo gani?.

Pia watu lazima wajue Rais wetu Magufuli ana PhD sio ya kupewa, kasomea hivyo siyo rahisi kwa mtu mwenye PhD kudanganywa kijinga kijinga, kama walizoea kudanganya wabadilike.

Mtu anayetuongoza ni msomi sio rahisi kumdanganya. Mfano pale bandarini anakueleza kwamba kwanini mtu aki feed information kule wewe huoni unapokuwa ofisini, oo eti, eti eti. Kwanini usiseme tu kwamba nimekosea na nitajirekebisha au tutajirekebisha.

Mimi wakati nasoma MSc nilikuwa nambishia Prof wangu juu ya topic fulani akaniambia don't lecture me, baadae nikajifunza unapomsikiliza Prof unajua mengi ambayo ulikuwa hujui kuliko kuanza kujifanya na wewe much know.

Nilipokuwa nafanya PhD niliendelea kumsikiliza Prof bila kumbishia ila tu nilikuwa natoa maoni kwanini isiwe hivi, na Prof alikuwa anajibu na kuonyesha njia.

Nawaomba watanzania wenzangu wajue Dr. Magufuli sio Dr wa kuchoma sindano, au Dr wa kupewa, ni PhD holder. Huwezi ukamyumbisha kijinga kijinga.

Ujue watu kama hawa waliosoma hawayumbishwi kijinga, huwa hawatetemeshwi na nyau.

Angalia hata Prof Muhongo, huwezi ukamshake kwa maneno yako yasiokuwa na kichwa au miguu. Hata wazungu wanajua kwamba tunaenda kuonana na mtu msomi sio yes man.

Zamani akija mzungu tu wizarani, utasikia waziri, ee tujiandae kwa mapokezi maalumu. Hayo yamepitwa na wakati kwa serikali yenye wasomi kama ya JPM.

Watu walikuwa wanakuja na begi tu eti anataka kuwekeza na walikuwa wanakubaliwa ila angalia sasa hivi hawaji, wameshasoma upepo.

Sasa watanzania tubadilike, Rais akija kwako akibaini kuna makosa, kubali halafu badilika, sio kujitetea. Hii inatuonyesha hufai maana hujui unacho kifanya.

Muungwana anakubali na anabadilika.
Uzuri wa Rais wangu Magufuli hapendi kudanganywa na pia ukiona anafuatilia au kuulizia jambo ujue ana data za kutosha, yeye huwa hawakurupuki na pia ukimwambia ukweli huwa ana huruma sana.
 
Back
Top Bottom