GE2025 Rais anaongea kitu asicho kifahamu

GE2025 Rais anaongea kitu asicho kifahamu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Izy_Name

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2020
Posts
1,061
Reaction score
2,552
Kama anathubutu kusema walio andamana ni watu kutoka nje ya nchi kwa maana hiyo kazi ya kulinda taifa imemshinda, kama watu zaidi ya millions walio andamana mikoa yote sio watanzania je wameingia kwa njia gani hapa tanzania

Pia ametumia njia gani kugundua kuwa sio watanzania na anchukua hatua gani kuwarejesha kwenye nchi zao pia tungependa kuwekwa wazi ataje mataifa yao ili barozi zao zithibitishe au kukana na kuvunja uhusiano wa ki-diplomacy moja kwa moja pia na mimi nijulishwe kuwa mimi ni raia wa taifa gani maana niliandamana
 
Kwa hiyo ungekuta na wewe na maiti duh
Komboeni komboeni sie tule matunda ya nduvu na dam zenu
Sisi hatuna hsja na mandamano
 
Hapana, nakupinga.
Anaongea anachokifahamu ila tu ni ujeuri na ukiburi wa madaraka ndio unaompofusha, sio kwamba samia hajui uhalisia, ila ni tamaa na kiburi cha madaraka!!
Ana roho ngumu saana!
 
Hapana, nakupinga.
Anaongea anachokifahamu ila tu ni ujeuri na ukiburi wa madaraka ndio unaompofusha, sio kwamba samia hajui uhalisia, ila ni tamaa na kiburi cha madaraka!!
Ana roho ngumu saana!
Rais mbu mbu mbu
 
Kama na thubutu kusema walio andamana ni watu kutoka nje ya nchi kwa maana hiyo kazi ya kulinda taifa imemshinda, kama watu zaidi ya millions walio andamana mikoa yote sio watanzania je wameingia kwa njia gani hapa tanzania

Pia ametumia njia gani kugundua kuwa sio watanzania na anchukua hatua gani kuwarejesha kwenye nchi zao pia tungependa kuwekwa wazi ataje mataifa yao ili barozi zao zithibitishe au kukana na kuvunja uhusiano wa ki-diplomacy moja kwa moja pia na mimi nijulishwe kuwa mimi ni raia wa taifa gani maana niliandamana
Kukataliwa ni kubaya sana mkuu
Angekubali TU watanzania wengi wamekataa
 
Kama na thubutu kusema walio andamana ni watu kutoka nje ya nchi kwa maana hiyo kazi ya kulinda taifa imemshinda, kama watu zaidi ya millions walio andamana mikoa yote sio watanzania je wameingia kwa njia gani hapa tanzania

Pia ametumia njia gani kugundua kuwa sio watanzania na anchukua hatua gani kuwarejesha kwenye nchi zao pia tungependa kuwekwa wazi ataje mataifa yao ili barozi zao zithibitishe au kukana na kuvunja uhusiano wa ki-diplomacy moja kwa moja pia na mimi nijulishwe kuwa mimi ni raia wa taifa gani maana niliandamana
Before ya kusoma teport anazoandikiwa na wasaidizi, achukue muda kutafakari maana wanamlisha false info
 
Back
Top Bottom