Rais amechoka. Anapaswa kumpumzika X-Mas

Rais amechoka. Anapaswa kumpumzika X-Mas

Mi nadhani pale Rais anapojibu swali kuhusu kumsamehe Mbowe,rais anaonekana amechoka,halafu anasoma ile prepared script.
Magufuli was run to the ground because of overwork. Rais anapaswa kupumzika. Sasa hivi ni majira ya sikukuu mpaka wiki ya pili ya Januari .
Wana Ccm kumbukeni hata
kina polepole, kingunge, Warioba etc walikuwa wana Ccm kindakindaki .

Mama asifungwe kwenye ushetani unaowafurahisha wanaojifanya so Ccm kindakindaki . Aachwe afanye yampendezayo kwa kuwa pia serikali haiwezi kusimama kuisubiri January 15.
 
Mi nadhani pale Rais anapojibu swali kuhusu kumsamehe Mbowe,rais anaonekana amechoka,halafu anasoma ile prepared script.
Magufuli was run to the ground because of overwork. Rais anapaswa kupumzika. Sasa hivi ni majira ya sikukuu mpaka wiki ya pili ya Januari .
Unaishi na samia hapo ikulu

USSR
 
Kweli Rais Samia amefanya kazi kubwa kwa muda mfupi anahitaji kupumzika ..kuanzia madarasa kila kona,kata au kijiji,reli toka Dodoma mpaka Mwanza, kununua treni ya umeme,shule za kidato Cha tano na sita kila mkoa, vituo vya afya na zahanati, chanjo za kila sampuli zinazotolewa bure kwa wananchi wenye utayari,kuendeleza barabara zilizokwama ujenzi na barabara mpya,ununuzi wa meli na ndege mpya, kupandisha madaraja watumishi zaidi ya elfu tisini,kuajiri watumishi wapya kada mbalimbali,ujenzi wa nyumba za makazi mji mkuu Dodoma,kumalizia miradi ya Hayati JPM.

Bado shughuli mbali mbali zikiwemo ziara,uzinduzi na ufunguzi miradi mbalimbali. Pumzika Rais wetu angalau kwa wiki. Tunajua kuna mema zaidi yanakuja.
 
Kweli Rais Samia amefanya kazi kubwa kwa muda mfupi anahitaji kupumzika ..kuanzia madarasa kila kona,kata au kijiji,reli toka Dodoma mpaka Mwanza, kununua treni ya umeme,shule za kidato Cha tano na sita kila mkoa, vituo vya afya na zahanati, chanjo za kila sampuli zinazotolewa bure kwa wananchi wenye utayari,kuendeleza barabara zilizokwama ujenzi na barabara mpya,ununuzi wa meli na ndege mpya, kupandisha madaraja watumishi zaidi ya elfu tisini,kuajiri watumishi wapya kada mbalimbali,ujenzi wa nyumba za makazi mji mkuu Dodoma,kumalizia miradi ya Hayati JPM.

Bado shughuli mbali mbali zikiwemo ziara,uzinduzi na ufunguzi miradi mbalimbali. Pumzika Rais wetu angalau kwa wiki. Tunajua kuna mema zaidi yanakuja.
Mateso anayotoa kwa Mbowe anatakiwa MAMA atubu
 
Mi nadhani pale Rais anapojibu swali kuhusu kumsamehe Mbowe,rais anaonekana amechoka,halafu anasoma ile prepared script.
Magufuli was run to the ground because of overwork. Rais anapaswa kupumzika. Sasa hivi ni majira ya sikukuu mpaka wiki ya pili ya Januari .
Acha uongo,
 
Mi nadhani pale Rais anapojibu swali kuhusu kumsamehe Mbowe,rais anaonekana amechoka,halafu anasoma ile prepared script.
Magufuli was run to the ground because of overwork. Rais anapaswa kupumzika. Sasa hivi ni majira ya sikukuu mpaka wiki ya pili ya Januari .
Apumzike amefanya kaz Gani? Kuzurura Ng'ambo ndo apumzishwe , bei zinapanda, maisha magum , Sasa tozo ndo usiseme, Kaz anayofanya had apumzike
 
Back
Top Bottom