The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,396
- 12,979
Kuna story ilikuja humu enzi zile wakati mzee wa kaya alikuwa anakuja nyumbani kubadilisha suit na kuanza safari nyingine ughaibuni. Nasikia that time hata carpet pale airport lilikuwa halikunjwi na mabalozi walishachoka kusindikiza msafara.
Wakati huo akiwa na safari ruruki alidai kuwa anakwenda khangaikia kupata pesa kutoka kwa wahisani, na asipofanya hivyo tutakufa na njaa.
Sasa kama story ni ya kweli mbona sasa hasafiri tena?? Je, ina maana anataka tufe na njaa. je barua ya katibu wa wizara ya fedha itatosha kutupatia pesa za wahisani kutuokoa na janga la njaa ukichukulia kuwa Katibu wa wizara ya fedha anadai zaidi ya wilaya 13 HALI NI MBAYA???
Wakati huo akiwa na safari ruruki alidai kuwa anakwenda khangaikia kupata pesa kutoka kwa wahisani, na asipofanya hivyo tutakufa na njaa.
Sasa kama story ni ya kweli mbona sasa hasafiri tena?? Je, ina maana anataka tufe na njaa. je barua ya katibu wa wizara ya fedha itatosha kutupatia pesa za wahisani kutuokoa na janga la njaa ukichukulia kuwa Katibu wa wizara ya fedha anadai zaidi ya wilaya 13 HALI NI MBAYA???