Safi sana hichi kibabu hadi kinakera kilivyokuwa kinang'ang'ana kubaki ikulu.
Kwani magamba wamekuambia wanampango wa kushindwa? Hata Arumeru wanadai watashinda! Hata wasingeweka mgombea watashinda na utashangaa tayari wana kura asilimia 72! Hawa jamaa achana nao... Hata ufanyeje wao ni washindi tu hata kwa kutumia mashetani kuwapigia kura!Bado chama cha magamba.....
Kwani magamba wamekuambia wanampango wa kushindwa? Hata Arumeru wanadai watashinda! Hata wasingeweka mgombea watashinda na utashangaa tayari wana kura asilimia 72! Hawa jamaa achana nao... Hata ufanyeje wao ni washindi tu hata kwa kutumia mashetani kuwapigia kura!
Kwani magamba wamekuambia wanampango wa kushindwa? Hata Arumeru wanadai watashinda! Hata wasingeweka mgombea watashinda na utashangaa tayari wana kura asilimia 72! Hawa jamaa achana nao... Hata ufanyeje wao ni washindi tu hata kwa kutumia mashetani kuwapigia kura!
......Hata hivyo Wade ameonyesha ukomavu wa kisiasa kukubali kushindwa tofauti na vibabu kama Mwai Kibaki wa Kenya na Robert Mugabe wa Zimbabwe. Alluta Continua Afrika kunazidi kucha.