Tetesi: Raila na born town hoi

Tetesi: Raila na born town hoi

Mange kamwe hawezi kumsema JK vibaya. JK ni mtu poa Sana. Huku Skendinevia ndie kiongozi pekee wa Africa anaheshimiwa sana. Najua mwamba ataingilia kati wasimuue polepole. JK kaja kubadilika kwa sababu ya uzee na dementia.
Wewe huwajui viongozi wa juu vizuri. Labda ungesema una mapenzi nae binafsi. Hiyo mtu poa sana huwa ni kwa wale watu wake tu, kwa washindani wake hugeuka kuwa shetani.
 
Siku ambayo mgaidi wa Hamas wameivamia Israel, whats shame
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom