Tetesi: Raila na born town hoi

Tetesi: Raila na born town hoi

Lisemwalo lipo yeye ana msemo wa za kuambiwa
Screenshot_2025-10-07-11-50-07-46_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12~2.jpg


MamaSamia2025 Magonjwa Mtambuka
 
Write your reply...umewahi ona popote kigogo mange kimambi na maria sarungi au fatma karume wakimsema vibaya mzee j kikwete?
 
Write your reply...umewahi ona popote kigogo mange kimambi na maria sarungi au fatma karume wakimsema vibaya mzee j kikwete?
Mange kamwe hawezi kumsema JK vibaya. JK ni mtu poa Sana. Huku Skendinevia ndie kiongozi pekee wa Africa anaheshimiwa sana. Najua mwamba ataingilia kati wasimuue polepole. JK kaja kubadilika kwa sababu ya uzee na dementia.
 
Lini born town ameanza kuumwa wakati alikuwa kwenye kampeni za chama chake juzi kati? Labda mseme raila!
 
Mange kamwe hawezi kumsema JK vibaya. JK ni mtu poa Sana. Huku Skendinevia ndie kiongozi pekee wa Africa anaheshimiwa sana. Najua mwamba ataingilia kati wasimuue polepole. JK kaja kubadilika kwa sababu ya uzee na dementia.
Huyo ni muuaji na shetani aliua ndugu zangu huku mtwara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom