Raia wawabadilikia police

Raia wawabadilikia police

Tukiungana tunaweza kuwatoa manyumbu madarakani,huu kwetu ni mfano hai na fundisho yakipi tunatakiwa kufanya,
Pengine kwetu KORONA ndo akawa mkombozi na mwisho wa Mafisi ya LUMUMBA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kenge moja leo imenibishia ati watu watakaa ndani kuvumilia njaa kwa kuogopa korona nikaona huyu hajui tafsiri ya njaa na kukaa ndani nikampuuza..

Ila raia wanagawa kisago kushinda hata polisi sasa kuna haja ipi ya mazoezi ya kipolisi wakati mtaani Kuna njemba zipo fiti polisi wakasome!!😜😜
Wakiona wamezidiwa wanawaachia mpambane na corona,hapo ndio itafahamika kweli mnaweza kugawa kichapo au mnaweza kugawa maandazi tu.

Kifupi mod pm wa india,anacheza vyema na ujinga wa raia wake.hapo kinachofuata ni kuwaacha waendelee na maisha ya kawaida halafu kila mtu atatatafuta mchawi.
 
kweli kwenye njaa unaweza kumtafuna binadamu menzako rejea kisa cha wle jamaa waliopatwa ajali ya ndege wakaamua kula maiti
2 Wafalme 6:25-29 Njaa ikawa kuu huko Samaria; na tazama, wakauhusuru, hata kichwa cha punda kikapata kuuzwa kwa vipande themanini vya fedha, na kibaba cha mavi ya njiwa kwa vipande vitano vya fedha. Ikawa mfalme wa Israeli alipokuwa akipita ukutani, mwanamke mmoja akamwita akisema, Unisaidie, bwana wangu, mfalme. Akasema, Bwana asipokusaidia, nikusaidieje mimi? Ya sakafuni, au ya shinikizoni? Mfalme akamwambia, Una nini? Akajibu, Mwanamke huyu aliniambia, Mtoe mtoto wako, tumle leo, na mtoto wangu tutamla kesho. Basi, tukamtokosa mtoto wangu, tukamla; nikamwambia siku ya pili, Mtoe mtoto wako, tumle; naye amemficha mtoto wake.

Njaa ni kitu cha balaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom