Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,033
Nitumie PM nikurudishie hata buku ya MBs kadhaa bro.
Washanipa ofa mkuu wacha nitembee nayo hii hii
Nitumie PM nikurudishie hata buku ya MBs kadhaa bro.
Washanipa ofa mkuu wacha nitembee nayo hii hii
Haha acha tu.Pamoja sana, huwa natumia free basics mida fulani. Inaboa kunawekwa kitu halafu unajikuta huwezi kukifungua.
Pamoja mkuu.
Mmh usiombeee itokee mkuuWatanzania hichi kitu hawawezi kukijaribu hata kwa sekunde
Hata kikitokea mtachalazwa viboko plus tear gas
Huyo jamaa hapo juu ni bodaboda?DRC hii jamaa kaamua kutembea naeView attachment 1404203
Jidanganye siku hiyo hutaamini yan unabaki pekeako wafuasi wako wote wanakugeuka, usiombe yakukute.Tukiungana tunaweza kuwatoa manyumbu madarakani,huu kwetu ni mfano hai na fundisho yakipi tunatakiwa kufanya,
Pengine kwetu KORONA ndo akawa mkombozi na mwisho wa Mafisi ya LUMUMBA
Sent using Jamii Forums mobile app