Kuna baadhi ya wanajeshi hawajiheshimu kabisa yaan wake za watu wao wanaona poa tu kubeba japo pia wanawake nao wanaleta majanga haya kwa upande mwingine kwasababu ya tamaa za aina flani,, ona sasa mtapiga raia lakini mwenzenu ndio alishafariki, jiheshimuni wanajeshi kama ambavyo jamii inawaheshimu pia,,