mzenjiboy JF-Expert Member Aug 28, 2010 907 383 Apr 13, 2015 #1 Raia wa Cameroon ametiwa mbaroni nchi za falme za Kiarabu (UAE) baada ya kukutwa na dola feki zenye thamani ya milioni kumi. Matapeli hayo wametajana na wote kukamatwa. Hapa nauliza suali : kwa nini picha za wahalifu hufichwa sura zao badala ya kuachwa wazi ili kila mmoja akamuona ?
Raia wa Cameroon ametiwa mbaroni nchi za falme za Kiarabu (UAE) baada ya kukutwa na dola feki zenye thamani ya milioni kumi. Matapeli hayo wametajana na wote kukamatwa. Hapa nauliza suali : kwa nini picha za wahalifu hufichwa sura zao badala ya kuachwa wazi ili kila mmoja akamuona ?
L lukelo sakafu JF-Expert Member Feb 19, 2015 2,939 517 Apr 13, 2015 #2 halafu ukishaona sura zao iweje