Kwa maana hiyo, mwisho wa kuchukiwa CCM ndio pia mwisho wa kupendwa Chadema au? Naomba ufafanuzi.
"CHADEMA isichezee wala kuchukulia kiurahisi wakati wake huu wa kupendwa na wananchi. Isije kujidanganya kuwa itaendelea kupendwa vyovyote vile. Viongozi wake wasije kujivika kilemba cha ukoka wakiamini kuwa wanapendwa kwa sababu wao ni vijana, wanazungumza vizuri, wanavaa magwanda vizuri n.k.
Wajue kabisa wanapendwa kwa sababu watu wameamua kuikataa CCM "na mambo yake yote". CHADEMA hawawezi kudai kuwa ni haki yao kupendwa au kuungwa mkono kwani historia ina mafunzo mazuri kweli – si hoja mtawala anapendwa vipi, siku moja anaweza kuchukiwa. " Gazeti Raia Mwema ikiandikwa na LULU WA NDALI MWANANZELA
Ndio maana yake mkuu!!
Tujipange sasa!
"CHADEMA isichezee wala kuchukulia kiurahisi wakati wake huu wa kupendwa na wananchi. Isije kujidanganya kuwa itaendelea kupendwa vyovyote vile. Viongozi wake wasije kujivika kilemba cha ukoka wakiamini kuwa wanapendwa kwa sababu wao ni vijana, wanazungumza vizuri, wanavaa magwanda vizuri n.k.
Wajue kabisa wanapendwa kwa sababu watu wameamua kuikataa CCM "na mambo yake yote". CHADEMA hawawezi kudai kuwa ni haki yao kupendwa au kuungwa mkono kwani historia ina mafunzo mazuri kweli – si hoja mtawala anapendwa vipi, siku moja anaweza kuchukiwa. " Gazeti Raia Mwema ikiandikwa na LULU WA NDALI MWANANZELA
Na nani aliyekudanganya wananchi wanaipenda chadema? wanaoipenda chadema ni wafuasi wachache wanaifata kwa ukabila na udini wao.
Na nani aliyekudanganya wananchi wanaipenda chadema? wanaoipenda chadema ni wafuasi wachache wanaifata kwa ukabila na udini wao.
well saidNa nani aliyekudanganya wananchi wanaipenda chadema? wanaoipenda chadema ni wafuasi wachache wanaifata kwa ukabila na udini wao.
Mkuu kama ndivyo basi future ya Chadema iko mashakani tena sana na hasa viongozi wasipokuwa makini. Kumbe Chadema inapendwa simply because wananchi wamekosa mbadala! Hii ni hatari kwa chama na kusambaratika kwake ni kufumba na kufumbua endapo CCM itafanya reshuffle ya uhakika kwenye mfumo wake.
Ni hatari kwa chama kupendwa kwa sababu ya wananchi kukosa "pa kukimbilia" badala ya kupendwa kwa sababu ya SERA zake.
"CHADEMA isichezee wala kuchukulia kiurahisi wakati wake huu wa kupendwa na wananchi. Isije kujidanganya kuwa itaendelea kupendwa vyovyote vile. Viongozi wake wasije kujivika kilemba cha ukoka wakiamini kuwa wanapendwa kwa sababu wao ni vijana, wanazungumza vizuri, wanavaa magwanda vizuri n.k.
Wajue kabisa wanapendwa kwa sababu watu wameamua kuikataa CCM "na mambo yake yote". CHADEMA hawawezi kudai kuwa ni haki yao kupendwa au kuungwa mkono kwani historia ina mafunzo mazuri kweli – si hoja mtawala anapendwa vipi, siku moja anaweza kuchukiwa. " Gazeti Raia Mwema ikiandikwa na LULU WA NDALI MWANANZELA